Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie asante kwa magazeti ila usisahau kutuletea je wajua? Maana Atoto kuna vitu havijui na kupitia wajua atajua kama vile ambavyo Tresor Mandala anavyomjua Makiwendo au namna Obe alivyojua Atoto ni pisi kali, ila min -me unajuwa kuwa Shunie aliwahi kuwa miss ilala namba 2?
Duh, umegusa maslahi ambayo kila likitajwa jina basi moyo unaacha kusukuma damu unasukuma mapenzi. Usawa hakuna kabisa, nilidhani nitashinda mechi yangu ila refa na watazamaji wako kwa timu pinzani.
Happy furahiday kwako
 
Duh, umegusa maslahi ambayo kila likitajwa jina basi moyo unaacha kusukuma damu unasukuma mapenzi. Usawa hakuna kabisa, nilidhani nitashinda mechi yangu ila refa na watazamaji wako kwa timu pinzani.
Happy furahiday kwako
Usijali mkuu najua fika atoto anakupenda ila shida yake kwasasa ni marejesho ya kausha damu tu ndio yanamsumbua.
 
...ha hahahaa, mimi najitafuta kwa Maki, ametulia zake Kigoma kwenye kampeni ya mama.
Shunie anakurusha, jirushe kwa Atoto , alisikika matchmaker mmoja mkononi kashika glass ya tequila
🤣 ebwanaeee! Kwahyo umeona ujitulize kwa toto la kichaga maki. Atoto ni pisi kali sana haswa akisuka minyoosho, weekend hi naenda kumuona kwa mama shirima tukiwa na big boss Tresor Mandala nawewe uje mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom