Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sijui kaitoa wapi![]()

Yaani siipendi akanijibu eti auntie huyo ni mimi nilivyokuwa kijana kama vile me simjui sijui kaamua kumtisha nani jf
Sijui kaitoa wapi![]()

Yaani siipendi akanijibu eti auntie huyo ni mimi nilivyokuwa kijana kama vile me simjui sijui kaamua kumtisha nani jfKwahiyo alivyokuwa kijana ndio alikuwa na sura ya "utajiju" kweli?Yaani siipendi akanijibu eti auntie huyo ni mimi nilivyokuwa kijana kama vile me simjui sijui kaamua kumtisha nani jf
😂😂😂😂😂Mie sijui
Nimechekaa
Sasa unatusaidiaje ikiwa hujui![]()

Kwahiyo alivyokuwa kijana ndio alikuwa na sura ya "utajiju" kweli?
Eti jamaniii yaani nilijua me hiyo avatar ndio inanikeraKwani imefanyaje Auntie jamani..Yaani mwenyewe siipendiinashindwa kuizoea nilimuuliza auntie huyo ni nani

Inasomeka Auntie..Lakini si yamesomeka auntie![]()
Yaani siipendi akanijibu eti auntie huyo ni mimi nilivyokuwa kijana kama vile me simjui sijui kaamua kumtisha nani jf







Eti jamaniii yaani nilijua me hiyo avatar ndio inanikera




Inatisha auntieKwani imefanyaje Auntie jamani..
Hapo nipo natural![]()
Si ndio nimepost mbili kawaida na michezo au zimekuja nne nneInasomeka Auntie..
Ila kwenye Browser zinaonekana kukaa Attachment mbili mbili
me browser hapana
Unatutesa auntie ibadili bwana
Naipenda mno..
Ebu niambie auntie nani uliamua kumtisha me wala sisemi
Mbona una'shout kwa nguvu hivyo Auntie jamani...

Nacheka Auntie jamani...
Hiyo Avatar naipenda mimi jamani..
Sisi hatupendiHa ha ha...Unatutesa auntie ibadili bwana