Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Itakuwa labda ndio inayowalipa![]()

Yaani kilazima utatumia kila ukifungua app haifunguki kuna maneno unakutana nayo
Itakuwa labda ndio inayowalipa![]()

Yaani kilazima utatumia kila ukifungua app haifunguki kuna maneno unakutana nayo
He heKwani babe ulikuwa wapi?
Auntie acha tu tupo wengiNilidhani ni kwangu tu...
Wanakupeleka Browser kilazima....
Ndio wamekuachia leoCheupeee
Naenjoy hiyo binamuHa ahahahhahah, vijana hawajui kabisa hizi mambo, juzi nimesikia wimbo unasema nataka kulewa napanda juu ya meza, lol! Anapanda afu inakuwaje!?
Enzi zangu kabla sijapata hiki kitambi elekezi unapanda juu unapiga kelele afu unachana Tshirt ya fubu
Ukumbi CCM hapo achana na Kakala

hiyo nyimbo achana nayo ukilewa unapanda kweli juu ya meza ukiisikiliza
Poleni sana, wengine tunapeta tuAuntie acha tu tupo wengi
Mungu anabariki sana Shem...Za uzima kitoto cha yesu
Tunapata usumbufu mkubwa sana Auntie..Auntie acha tu tupo wengi
Kupitia mlangoni.Makiwendo ameingiaje hapo..😄
Hongereni SwahibaPoleni sana, wengine tunapeta tu
Hongera na weweHongereni Swahiba
Asanteeee!! Nataka korosho.......nidai korosho au mbaazi ambazo nitampatia makaveli10 akuletee, huyu namwamini ni mwaminifu sana achana na Lee zawadi za aunt yangu zilikuwa zinapigwa hafu kwa cheusi mangara hafu kwa aunt
Kwani namba yangu umeisahau nikutumie tena?Shenji wewe...
Acha umbea!!He he