Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Mila na desturi zetu zilikuwa zikihimiza, kabla ya vijana hawajaamua kuingia kwenye ndoa, ilikuwa ni lazima wazazi kufahamu familia ambayo kijana wao au binti yao anataka kuingia.
Wazazi wetu zamani hawakuwa wajinga walipokuwa wanachunguza familia ya mahali binti yao anapotaka kuolewa au kijana wao anapotaka kuoa. Walikuwa hawajui chochote kuhusu ‘saikolojia’, lakini walijua kwamba tabia mbaya au nzuri zinaweza zikatembea katika familia.
Wazazi wetu zamani hawakuwa wajinga walipokuwa wanachunguza familia ya mahali binti yao anapotaka kuolewa au kijana wao anapotaka kuoa. Walikuwa hawajui chochote kuhusu ‘saikolojia’, lakini walijua kwamba tabia mbaya au nzuri zinaweza zikatembea katika familia.

