Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Kituo hicho cha kisasa cha biashara Afrika Mashariki, kinajengwa wilayani Ubungo, jijini Dar es Salaam sehemu ambayo awali kulikuwa na Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani.
Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Cathy Wang, amesema kuwa kituo hicho kinatarajiwa kufunguliwa mwezi wa sita mwakani baada ya ujenzi wake kukamilika.
Cathy ameyabainisha hayo leo Julai 8, 2023; kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Cathy Wang, amesema kuwa kituo hicho kinatarajiwa kufunguliwa mwezi wa sita mwakani baada ya ujenzi wake kukamilika.
Cathy ameyabainisha hayo leo Julai 8, 2023; kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
