"Miili haitapatikana"
Kiongozi wa Kikosi cha Wanamaji anayesimamia zoezi la uokoaji amewaambia waandishi wa habari kwamba abiria wote waliokuwa kwenye chombo cha Titan wamefariki na huenda miili ya marehemu hao isipitakane kabisa.
Pia kiongozi huyo amesema kwamba mabaki mengine matano ya chombo hicho yamepatikana.
Kiongozi huyo ameeleza kwamba mazingira yalipokutwa mabaki ni ya hatari sana. Kiongozi huyo amesema idadi ya waokozi itaanza kupunguzwa kutoka eneo hilo baada ya masaa 24 kwa sababu eneo hilo ni hatari sana kwa maisha ya watu.
Pichani ndio abiria waliokuwa kwenye chombo hicho. Abiria mmoja alikuwa analipa nauli inayokadiriwa kufikia Shilingi Milioni 600..!
View attachment 2665945View attachment 2665946View attachment 2665947View attachment 2665948