carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 654
- 1,543
Walete na wa kununua kwa masaa 😂Bei yake mmeiona nyie mtabaki na sisi sisi tu![]()
Walete na wa kununua kwa masaa 😂Bei yake mmeiona nyie mtabaki na sisi sisi tu![]()
....usikonde aunt yangu, mwaka huu wako lazima nikuletee au nikuelekeze pale Mlimani city ukachukue? nenda pale chagua kifuko kinachokutosha sema zimetoka kwenye shamba la binamu yako.hizo korosho hata siku moja kuniletea binamu
....usikonde aunt yangu, mwaka huu wako lazima nikuletee au nikuelekeze pale Mlimani city ukachukue? nenda pale chagua kifuko kinachokutosha sema zimetoka kwenye shamba la binamu yako.
Wakisema ulipie waambie unatoka NEMC unapambana na kangomba


binamu naomba tu unileteeNyinyi tumewachoka vizinga sanaaSisi ndio mtakaokutana nasi
Kuna uzi mmoja nliona jamaa dem wake kwa siku anakula nyama kilo mojaKwahiyo vizinga vinawakimbiza
Na maringo yasio na sababuKwahiyo vizinga vinawakimbiza
Na maringo tenaNa maringo yasio na sababu

Kuna uzi mmoja nliona jamaa dem wake kwa siku anakula nyama kilo moja

