Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wananchi wanatinga fainali ya Azam Sports Federation Cup kwa msimu wa pili mfululizo, msimu uliopita walichukua ndoo mbele ya Coastal Union ya Tanga, msimu huu watacheza dhidi ya Azam FC kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Watachukua tena?

FT| SINGIDA BIG STARS 0-1 YANGA
️ Fiston Mayele

Kituo Kinachofuata ?
Screenshot_20230522_054338.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom