Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Matokeo ya vipimo vinavyoonesha asili ya Mtu kupitia tovuti ya ancestry.com yameonesha kuwa Baba Mzazi wa Rapper Drake champagnepapi ana asili ya Nigeria kwa asilimia 30 ambapo asilimia nyingine zilizobaki zimeonesha kuwa ana asili ya Cameroon, Congo kwa asilimia 28, Ivory Coast na Ghana asilimia 11.
Matokeo ya Baba yake yamemfanya Drake ahoji kama yeye ni Mnaigeria japo kwenye orodha ya Nchi zilizotokea kwenye matokeo hayo zimemuonesha pia Mzee huyo ana asili ya Scotland, Mali, Benin na Togo pamoja na Ujerumani.
Drake aliandika yafuatayo kwenye Insta story yake “Haya ni majibu ya Baba yangu... Je, hii inamaanisha hatimaye mimi ni Mwanaume kutokea Nigeria?”
Matokeo ya Baba yake yamemfanya Drake ahoji kama yeye ni Mnaigeria japo kwenye orodha ya Nchi zilizotokea kwenye matokeo hayo zimemuonesha pia Mzee huyo ana asili ya Scotland, Mali, Benin na Togo pamoja na Ujerumani.
Drake aliandika yafuatayo kwenye Insta story yake “Haya ni majibu ya Baba yangu... Je, hii inamaanisha hatimaye mimi ni Mwanaume kutokea Nigeria?”

YANGA muda wowote leo Jumatatu watatoa tamko kutokana na Adhabu iliyotolewa na CAF.
KOCHA NASREDDINE NABI: