Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,611
We mtoto😳😳😳Kwahiyo auntie umelitamani si etii
Hujui shangazi ni baba!!!
We mtoto😳😳😳Kwahiyo auntie umelitamani si etii
We mtoto
Hujui shangazi ni baba!!!
Shangazi ni baba ndio lakini kweli si umetamani
Daah njaa mbayaTakriban watu 78 wamefariki katika mkanyagano uliotokea katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a wakati wa ugawaji wa chakula cha msaada kwa ajili ya Ramadhan.
Tukio hilo limetokea Jumatano jioni wakati mamia ya watu walipomiminika katika shule moja wilaya ya Bab al-Yemen mjini Sana’a kwa ajili ya kupata msaada wa takribani dola 10 [TZS 23,460] ambazo zilikuwa zikitolewa na wafanyabiashara kwa ajili ya kuadhimisha siku za mwisho za Ramadhani.
Video zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha watu wakipiga mayowe huku wengine wakiwa chini wakijaribu kuomba msaada, baadhi yao wakiwa hawatikisiki na wengine wakijaribu kutoa msaada.
Mashahidi wameiambia shirika la habari la Associated Press kwamba watu waliokuwa na silaha walifyatua risasi hewani katika kujaribu kudhibiti umati wa watu na kisha waligonga waya wa umeme ambao ulilipuka na kusababisha hofu miongoni mwa waliokuwa wakisubiri.
Wafanyabiashara mjini humo ambao walipanga tukio hilo la utoaji wa misaada wamekamatwa na uchunguzi unaendelea kuhusu tukio hilo, imesema wizara ya mambo ya ndani.View attachment 2595128
Naaaaaaam...SALIM APEWA MKATABA, MSHAHARA MNONO SIMBA
.
Kipa namba tatu wa Simba, Ally Salim amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu baada ya kuonyesha kiwango kizuri dhidi ya Yanga. Na habari mpya ni kwamba hata mechi ya Jumamosi dhidi ya Wydad Casablanca, Salim ana nafasi kubwa ya kusimama langoni.
.
Awali, Simba ilitaka kumtoa kwa mkopo Salim kabla ya kudaka dhidi ya Yanga ambayo ni kama imemsaidia kuendelea kusalia klabuni hapo hadi 2027 na akivuta mkwanja mnene wa Sh4 milioni.
.
Mshahara wake utakuwa Sh.4 milioni ambayo ni nyongeza ya asilimia 50 ya mshahara wa awali.View attachment 2595098
Yaani auntie hapana na uko utakuwa umevuruga mpaka umekuja kusemwa




Sasa namna hii ndiyo kusolve kifamilia kweli?


Dogo hujambo?Naaaaaaam...
Na Kazi Iendelee
Amekula pilau la ansar sunn anacheua muache😂Sasa namna hii ndiyo kusolve kifamilia kweli?![]()
Katoka kwa ras simba basi anasumbua kweli![]()





Haya ndio mambo sasa😋😋😋😋Idd kesho wewe mdudu jiandae😂
Sijambo Kaka....Dogo hujambo?
Maswali gani haya tunaulizana lakini🤣🤣🤣🤣Shangazi ni baba ndio lakini kweli si umetamani
Atakuwa kavimbiwa eeeh???Amekula pilau la ansar sunn anacheua muache![]()

Si ndio!! Nimelileta kifamilia ili wajue matatizo yako na namna unavyonitesa🤣🤣🤣Sasa namna hii ndiyo kusolve kifamilia kweli?![]()