Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20230421_051502_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20230421_051518_Opera%20Mini.jpg
 
Marehemu ageuka jiwe...!
Mji wa Musoma umekumbwa na sintofahamu baada ya maiti ya mtoto kugeuka jiwe.

Inadaiwa wazazi walikuta jiwe kwenye kitenge alichokuwa amefunikwa marehemu huyo katika. Tukio hilo limetokea katika kitongoji cha Mgaranjabho nje kidogo ya mji wa Musoma.

Hili litakuwa tukio la pili la kushangaza katika kitongoji hicho ambako karibu miaka 10 iliyopita watu 17 wa familia moja waliuwawa kwa kukatwa mapanga...

Pichani ndio jiwe linalodaiwa kukutwa alipokuwa maiti badala ya mwili wa mtoto.
Screenshot_20230421_075132.jpg
 
Wizara ya Utumishi wa Umma na Kazi Nchini Rwanda imewatangazia Waajiri na Waajiriwa wote Nchini humo wa Sekta za Umma na Sekta Binafsi kwamba kesho Ijumaa April 21,2023 ni Siku ya Mapumziko ya Kitaifa hivyo Watu hawatoenda kazini ili kuwapa fursa ya kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri.

Wizara imesema imechukua uamuzi huo baada ya Jumuiya ya Waislamu Rwanda (RMC) kuthibitisha kwamba mwezi umeandama na kesho ni Eid.
View attachment 2594653
Tanzania ni kisiwa.
 
Back
Top Bottom