[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ila nitakuja pm tutaongea vizuriii nikuombe na msamaha [emoji1787]
Hapana mpenzi wangu
Tanzania ni kisiwa.Wizara ya Utumishi wa Umma na Kazi Nchini Rwanda imewatangazia Waajiri na Waajiriwa wote Nchini humo wa Sekta za Umma na Sekta Binafsi kwamba kesho Ijumaa April 21,2023 ni Siku ya Mapumziko ya Kitaifa hivyo Watu hawatoenda kazini ili kuwapa fursa ya kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri.
Wizara imesema imechukua uamuzi huo baada ya Jumuiya ya Waislamu Rwanda (RMC) kuthibitisha kwamba mwezi umeandama na kesho ni Eid.
View attachment 2594653
Asante auntie yangu mzuri mzuri kwa kushukuruAhsante kwa Magazeti Auntie wangu....
Hahahhaa nimechekaaNa mm niite basi Hilo jina jaman
Mbona mnatunyanyasa sisi CHAPUTA
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787] ukaamua uje kumsemea nyumbani si ungemsema ukouko kwnza ni uzi gani
[emoji1787] Auntie umezurura mpaka hujui ni uzi gani unasemewa[emoji1][emoji1][emoji1]
Eti jamani Auntie...
Ni Uzi gani kwanza?
Maana leo nimezurura...