Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,272
Hapana anafurahia pilau la mwalikoAtakuwa kavimbiwa eeeh???![]()
Hapana anafurahia pilau la mwalikoAtakuwa kavimbiwa eeeh???![]()
🤣🤣🤣🤣 Weeh hapa njaa inaniuma hata sielewi.Amekula pilau la ansar sunn anacheua muache😂
Aaah hii ihairishwe tu, haina maana🤣🤣🤣
Uchokozi sitaki....
Eid kesho....
SEma nami vizuri ulambe asali D🤣🤣🤣🤣 Weeh hapa njaa inaniuma hata sielewi.
Leo sijui umeamkia wapi, unamwaga mapoint balaa!!Se
SEma nami vizuri ulambe asali D
Yaaaani Auntie sielewi...
Kuna Uzi wa Mashoga huko sijui ndiyo huo...

We kishkwambi mimi dogo kwwli!!!!!Leo sijui umeamkia wapi, unamwaga mapoint balaa!!
Fanya mambo basi mdogo wangu😘😘
Eti kishkwambi daah🤣🤣🤣We kishkwambi mimi dogo kwwli!!!!!
Si ndio!! Nimelileta kifamilia ili wajue matatizo yako na namna unavyonitesa![]()




Jamani....We lini uliniona naongea kiingereza mimi🤣🤣🤣Jamani....
Ingekuwa leo angalau.
Weeeeeeeweee.....We lini uliniona naongea kiingereza mimi
Halafu kile sio kingereza jamani![]()
Leo tupo kwa Rutto tunasheherekeaIngekuwa leo angalau.

🤣🤣🤣🤣🤣Weeeeeeeweee.....
Tulia kwanza....Nasemaje....
Hii nchi yenu nahama, nahamia kijijini mimi.Leo tupo kwa Rutto tunasheherekea![]()
Weeeeeeeweee.....
Tulia kwanza....Nasemaje....