Makapuku Forum

Makapuku Forum

PRESS CONFERENCE | Kocha wa Simba ROBERTO OLIVIERA ‘Robertinho’ amesema kitu muhimu kwake na timu [Simba] ni kushinda japo anawaheshimu wapinzani na anatarajia mchezo mgumu.

Amesema ili kushinda mechi ngumu za aina hiyo unahitaji Kocha mwenye mtazamo chanya na kuwaandaa wachezaji wacheze vizuri na kushinda.
Screenshot_20230421_145210.jpg
 
PRESS CONFERENCE | Kocha wa Wydad Casablanca amesema mechi yao ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba ni mchezo maalum lakini kitu muhimu kwao ni kufuzu kwenda Nusu Fainali.
Screenshot_20230421_145315.jpg
 
Mjadala huru sasa, David De Gea ni Golikipa mzuri sana ila ameonekana akifanya makosa kadhaa haswa kwenye kuanzisha mchezo kutoka langoni kwake, naamini ana changamoto kubwa ya footwork na hii inamgharimu sana.

Pass ya jana kwa Maguire aliwahi mpigia Lisandro Martinez ila the Kid alikuwa bora na aliweza kuondoka eneo la hatari, je DDG hana makosa tumlaumu Maguire pekee?
Screenshot_20230421_145430.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom