Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
.
JUST IN: Baada ya Kariakoo Derby, mechi ya Namungo dhidi ya Simba na Singida Big Stars dhidi ya Yanga kwenye NBC Premier League ambapo zilitarajiwa kupigwa wiki hii zimeahirishwa ili kuwapa muda wa kujiandaa Simba na Yanga kwenye mechi za robo fainali kimataifa.
JUST IN: Baada ya Kariakoo Derby, mechi ya Namungo dhidi ya Simba na Singida Big Stars dhidi ya Yanga kwenye NBC Premier League ambapo zilitarajiwa kupigwa wiki hii zimeahirishwa ili kuwapa muda wa kujiandaa Simba na Yanga kwenye mechi za robo fainali kimataifa.
) na imeshindwa kuvunjwa wala kufikiwa kwa muda unaokaribia miaka 46 licha ya Simba na Yanga kuwa na mastraika walioweka heshima kubwa kwa kutupia mipira kambani.
“Kwa Aziz KI kutokuanza yalikuwa masuala ya kiufundi tu, huyu ni mchezaji mzuri lakini niliona kuwa haikuwa mechi muhimu sana kuanza, huko mbele bado tuna michezo mingine mingi,” 
kutaka kuwapeleka mabingwa wa Tanzania, Yanga kwenye Uwanja wa Adokiye Amiesimaka, Port Harcourt umegonga mwamba na badala yake mchezo huo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika utapigwa Godswill Akpabio, Uyo.