Aisee 😅😅😅Ukiona napost usiku ujue nipo lindo me ni mlinzi
Eenh bwana kwahiyo ndio mda ninaopata nikiwa lindoni nakutumia wi-fi ya bureAisee![]()
Lindo lako linafanya tunapishana. Sijui lini ntakukuta 😅😅Eenh bwana kwahiyo ndio mda ninaopata nikiwa lindoni nakutumia wi-fi ya bure
Lindo lako linafanya tunapishana. Sijui lini ntakukuta![]()
Leo na kesho nipo napatikanaNipe direction vizuri. Kumbukumbu imepotea kidogo 😅😅Leo na kesho nipo napatikana
He heNipe direction vizuri. Kumbukumbu imepotea kidogo![]()
Toa assist basi

😅😅😅 Machungu na hasira za jana, nilitaka ziishie kwenye magazeti na habari za hapa na pale. Ila mpostiji kala chocho 😅😅Toa assist basi
Mashabiki wa Simba hatujaamka bado![]()
Amelala Bado...😅😅😅 Machungu na hasira za jana, nilitaka ziishie kwenye magazeti na habari za hapa na pale. Ila mpostiji kala chocho 😅😅
Analalaje mpaka time hii? Uchumi wa nchi utashuka 😅😅Amelala Bado...
Siyo kwa shughuli ile ya kuwakanda Vyura😄
Mwambie nimesusa, asipost tena. Sitaki arosto 😅😅😅Haiwezekani..
Ndio naamka shabiki wa simba tusameheane leo magazeti kesho
Toa assist basi
Mashabiki wa Simba hatujaamka bado![]()
na ndio tunaamka
Kesho jamani magazeti ndio naamka kushangilia ushindi wa mnyamaaMagazeti yapo wapi [mention]Shunie [/mention] au ww shabiki wa UTOPOLO
Sijapenta