Farhan Jr
ALLY SALIM JUMA, THE PRIDE OF TANGA

muiteni nae ataitika na mtumeni naye atawatumikia! Haikuwa tu suala la mpira wa miguu lakini suala la kuiweka mitaa yake kwenye ramani, Mkubwa Roma yupo Marekani, Odo Ummy yupo Bungeni na Salim yupo uwanjani.
Well the Admn alijua tangu Jumatatu kuwa Ally Salim ataanza langoni, alipoitwa langoni kwa derby akaitika na signature perfomance! Kipa wa Mali karuhusu mali mara mbili, mbele ya Mtanzania kutoka Tanga na cleansheet.
Wahadhiri walisema Football is the game of passing the torch, ila Ally ameweka mkono kwenye tochi! Ameomba ubao na kuandika No Aishi, No Beno trust me there is no problem! Hakuna Matata amini hivyo.
Wakati @baraka_mpenja wa Umalila anasema Get ready to rumble kama Michael Buffer, wakati Bookmakers wanaamini kuna GG, basi mikono miwili ya Bwamdogo inasema your story is not my story, namaliza hii tukutane kwa Carry Mastory.
Usitumie picha hizi hovyo bila idhini ya TCRA maana ni hatari kupaa hivyo kwa watoto chini ya miaka 18, up to the stars bila kutumia darubini pale Serengeti, juu zaidi kuliko mitambo ya Mamlaka ya hali ya hewa, Ally is officially a certified Goalie.
Dont try this at home, hairuhisiwi kwa wenye umri chini ya miaka 18