Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Unaenda wapi sasaEboooo![]()
Unaenda wapi sasaEboooo![]()
Yanasaidia nini hayo
Nitaanza kuwa naacha appreciationsNa wewe pia unapita kimyakimya kweli jamani
Siku ukiwa huna jero , unasoma vichwa vya habari tu.. nyie watoto mmeishi maisha mazuri sana..![]()
me sio mtoto ujue ni muhenga tena nimekula chumvi nyingi sanaaHuku swalama kabisa. Ni heri kusikia upo njemaNamshukuru Mungu nipo vizuri hofu kwako tu
Barikiwa sana na karibu sana chautunduNitaanza kuwa naacha appreciations
Gram ngapi za chumvi umekula? 😅😅😅me sio mtoto ujue ni muhenga tena nimekula chumvi nyingi sanaa
Me mgeni wako leo. Pika chakula kingiBarikiwa sana na karibu sana chautundu
Kumbe una hamu na mimba eeh!! Wapi mie nineongelea mimba? Mie nilikuwa nazungumzia malaria!!!!Jamaniiii wa kunipa mimba mwenyewe yupo mkoani ukoebu niachee sina mimba
Nyingi sanaaa tatizo hamniaminiGram ngapi za chumvi umekula?![]()
😅😅😅 haya muhengame sio mtoto ujue ni muhenga tena nimekula chumvi nyingi sanaa
Chakula tu umepata sema kingineMe mgeni wako leo. Pika chakula kingi

Hata kilo hujafikisha mpaka sasa 😅😅😅Nyingi sanaaa tatizo hamniamini
haya muhenga

Na sehemu ya kulala pia. Mgeni nakuja na ujumbe mzitoChakula tu umepata sema kingine![]()
Daaaah mimi huyoHata kilo hujafikisha mpaka sasa![]()

Usijali chumba cha wageni kipoNa sehemu ya kulala pia. Mgeni nakuja na ujumbe mzito
Yeah wewe 😅Daaaah mimi huyo![]()
Natakiwa kuja na nini?Usijali chumba cha wageni kipo