Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,231
- 464,524
Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamaniSafi sana. Tayari![]()
Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamaniSafi sana. Tayari![]()
Tumwache tu auntie ataambiwaEeeeeeh!!!
Ila watu jamani....
Tumwambie ukweli au ataambiwa?![]()

Ili nigundue nini auntie haya mambo ya kubadilisha hapana jamaniHe he he....
Auntie wewe ndiyo hubadilishagi...
Dalili za utajiri hizo.. leo hujaposta magezeti mbonaYaani auntie ninalala mapema sana ikishifika saa tatu au nne nipo kama teja
Yaaaani....Ili nigundue nini auntie haya mambo ya kubadilisha hapana jamani
Dalili za utajiri wapiiiiDalili za utajiri hizo.. leo hujaposta magezeti mbonaView attachment 2587308
kumbe magazeti unasomaga me najua anasoma Mjep na mkwepu jr
Yaaaani....
Kwa kweli hapana kabisa..


Nimewaachia nyie auntie me shunie hilihili mwanzo mwisho sibadili hata nitongozwe upyaaaMGazeti lazima kusoma, usije kuta umebandikwa unatafutwa, bila kuwa na taarifa
MGazeti lazima kusoma, usije kuta umebandikwa unatafutwa, bila kuwa na taarifa


Kwahiyo unasomaga kimyakimya bila kuacha alama eenh basi nitakuwa na wasomaji wengi sana was magazeti na sijuikila asubuhi asubuhi lazima nipitie vichwa vya habari, zamani kipindi sina smartphone asubuhi sana nawahi posta kusoma vichwa vya habari ndio narudi kulala tenaKwahiyo unasomaga kimyakimya bila kuacha alama eenh basi nitakuwa na wasomaji wengi sana was magazeti na sijui
kila asubuhi asubuhi lazima nipitie vichwa vya habari, zamani kipindi sina smartphone asubuhi sana nawahi posta kusoma vichwa vya habari ndio narudi kulala tena


ebu acha basi mambo zako yaani unaenda post tu kwa ajili ya kusoma magazeti na magazeti yanauzwa sehemu nyingi za mtaani🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo laaana vipi tena?
Tugawane basi dada yangu kipenzi😍😍😍
Shenji...
Vipi kichefuchefu?Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamani
😅😅 nyie watoto wa kisasa ndio mnaona haiwezekani .. ila sie wahenga unaona bola upande dala dala buku 2, ukasome hata vichwa vya habari vyote au wampoza muuza magazeti jero unasoma yoteebu acha basi mambo zako yaani unaenda post tu kwa ajili ya kusoma magazeti na magazeti yanauzwa sehemu nyingi za mtaani
Nimewaachia nyie auntie me shunie hilihili mwanzo mwisho sibadili hata nitongozwe upyaaa





Jamaniiii wa kunipa mimba mwenyewe yupo mkoani ukoVipi kichefuchefu?
ebu niachee sina mimba