Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamaniSafi sana. Tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamaniSafi sana. Tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumwache tu auntie ataambiwa [emoji23]Eeeeeeh!!!
Ila watu jamani....
Tumwambie ukweli au ataambiwa?[emoji1787]
Ili nigundue nini auntie haya mambo ya kubadilisha hapana jamaniHe he he....
Auntie wewe ndiyo hubadilishagi...
Dalili za utajiri hizo.. leo hujaposta magezeti mbonaYaani auntie ninalala mapema sana ikishifika saa tatu au nne nipo kama teja
[emoji23][emoji23][emoji23]Tumwache tu auntie ataambiwa [emoji23]
Yaaaani....Ili nigundue nini auntie haya mambo ya kubadilisha hapana jamani
Dalili za utajiri wapiiii [emoji23] kumbe magazeti unasomaga me najua anasoma Mjep na mkwepu jrDalili za utajiri hizo.. leo hujaposta magezeti mbonaView attachment 2587308
[emoji23][emoji23][emoji23] Nimewaachia nyie auntie me shunie hilihili mwanzo mwisho sibadili hata nitongozwe upyaaaYaaaani....
Kwa kweli hapana kabisa..
MGazeti lazima kusoma, usije kuta umebandikwa unatafutwa, bila kuwa na taarifa
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo unasomaga kimyakimya bila kuacha alama eenh basi nitakuwa na wasomaji wengi sana was magazeti na sijuiMGazeti lazima kusoma, usije kuta umebandikwa unatafutwa, bila kuwa na taarifa
kila asubuhi asubuhi lazima nipitie vichwa vya habari, zamani kipindi sina smartphone asubuhi sana nawahi posta kusoma vichwa vya habari ndio narudi kulala tena[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo unasomaga kimyakimya bila kuacha alama eenh basi nitakuwa na wasomaji wengi sana was magazeti na sijui
[emoji23][emoji23][emoji23] ebu acha basi mambo zako yaani unaenda post tu kwa ajili ya kusoma magazeti na magazeti yanauzwa sehemu nyingi za mtaanikila asubuhi asubuhi lazima nipitie vichwa vya habari, zamani kipindi sina smartphone asubuhi sana nawahi posta kusoma vichwa vya habari ndio narudi kulala tena
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo laaana vipi tena?
Tugawane basi dada yangu kipenzi😍😍😍[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shenji...
Vipi kichefuchefu?Tayari ya nini auntie nipo kawaida jamani
😅😅 nyie watoto wa kisasa ndio mnaona haiwezekani .. ila sie wahenga unaona bola upande dala dala buku 2, ukasome hata vichwa vya habari vyote au wampoza muuza magazeti jero unasoma yote[emoji23][emoji23][emoji23] ebu acha basi mambo zako yaani unaenda post tu kwa ajili ya kusoma magazeti na magazeti yanauzwa sehemu nyingi za mtaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Nimewaachia nyie auntie me shunie hilihili mwanzo mwisho sibadili hata nitongozwe upyaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tugawane basi dada yangu kipenzi[emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vipi kichefuchefu?
Jamaniiii wa kunipa mimba mwenyewe yupo mkoani uko [emoji23] ebu niachee sina mimbaVipi kichefuchefu?