Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Kwamba posta mkishasoma mnapewa na michongo ya pesa au halafu me sio mtoto wa kisasa miaka yangu 50 utaniita mtoto wa kisasa ebu nitake radhinyie watoto wa kisasa ndio mnaona haiwezekani .. ila sie wahenga unaona bola upande dala dala buku 2, ukasome hata vichwa vya habari vyote au wampoza muuza magazeti jero unasoma yote




