Makapuku Forum

Makapuku Forum

nyie watoto wa kisasa ndio mnaona haiwezekani .. ila sie wahenga unaona bola upande dala dala buku 2, ukasome hata vichwa vya habari vyote au wampoza muuza magazeti jero unasoma yote
Kwamba posta mkishasoma mnapewa na michongo ya pesa au halafu me sio mtoto wa kisasa miaka yangu 50 utaniita mtoto wa kisasa ebu nitake radhi
 
Mzigo unakata tuuuu 😅😅😅
ery.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom