Weeeeeee
Mbona imekuwa ghafla sana...
Na Auntie Shu hajaniambia hata..lol...
Eeeeh!!!ikawaje?
Walikualika?


Auntie na unaamini kabisaDaaah😭😭😭Na me ndio nilivyomwambia na jf wamemwambia hili ndio mwisho tena kubadili kwahiyo auntie habadili tena linabaki hilihili
Wakaachana nikiwa njiani kuelekea kwenye shughuli. Kwani wana maana sasa![]()


Nimecheka sana kwa sauti
hahahaha,shangazi uko vzr,inabidi twende katanga,mwezi october


we mzee unataka nikawe na kigugumizi au niwe bubu si etiiKwahiyo mimi muongo? Sema ndio niache laana.khaaaa auntie makiiii achana naye huyu toka umeondoka ulivyotuacha ndio vilevile
Wewe ndio kwamba kapotea au kapata mstaafu ngoja apande juu juu atajioneaWeeeh!! Mimi huyu huyu![]()
Kikuu🤣🤣🤣me nimefanyaje jamani
Yaani auntie ninalala mapema sana ikishifika saa tatu au nne nipo kama tejaDaaah
Naona ndio umeachiwa na jambazi lako!
Hapana auntie sio muongo ila ulisemaKwahiyo mimi muongo? Sema ndio niache laana.
Alikuwa kwenye project pururua mstaafu🤣🤣🤣Wewe ndio kwamba kapotea au kapata mstaafu ngoja apande juu juu atajionea
Safi sana. Tayari🤣🤣🤣Yaani auntie ninalala mapema sana ikishifika saa tatu au nne nipo kama teja
Eeeeeeh!!!maisha yenyewe mafupi haya auntie kuna mkaka kuna siku alipita makapuku akasema hili jukwaa halina hata wachangiaji yupo mtu mmoja tu nikamwambia mkuu ndio lilivyo hili jukwaa

He he he....Na lili chillah sijui nimekosea kuna mtu nimeona analo
Wala sijamsikiliza...khaaaa auntie makiiii achana naye huyu toka umeondoka ulivyotuacha ndio vilevile
Hapana Auntie...Auntie na unaamini kabisa