We Kisbo kumbe upo!!!
Dah!!!...
Nimecheka sana...
Ungemwambia ni nini Auntie..
Natamani upande juu juu tu ujionee mwenyewenikamwambia yupo kwaresma



Shikamoo
Kwendraaaaaa
Hata sijakumiss.
Kwendraaaaaa
Alaaaaaa!!!Hata sijakumiss.
Ushampurura mstaafu wa watu, zimeisha ndio umerudi![]()

Halafu hivi nilikuacha na jina gani tena?Hata sijakumiss.
Ushampurura mstaafu wa watu, zimeisha ndio umerudi![]()
Kwani una maana sasa🙆🙆🙆Alaaaaaa!!!
Mimi nimekumiss....
Mstaafu gani tena jamani?
Na kwanini awe mstaafu sasa![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Halafu hivi nilikuacha na jina gani tena?
Bora ubaki hapa hapa tu...
Hili linakufaa sana...
Kwani una maana sasa
Mbabu wa watu akajua amepata!!!






Kabisa..
Hata nakumbuka sasa!! Nishabadili hadi nimeyasahau. Hili litabakibaki hadi waniruhusu kubadili tena. Eti sioni tena option ya kubadili![]()

Bahaffaujajagafakaj mkubwa wewe🤣🤣🤣🤣
Ujue wewe ni Mwehu...
Mbabu Mstaafu hapana..Nina huruma na watoto wa watu..
Espy lilibebwa na mfwala gani sijui.Kabisa..
Hili na lile lingine(espy) ndiyo yalikuwa yanakufaa...
Kwa sasa tubaki tu hapa...
Option watakuwa wamekuondolea wamechoka![]()
Bahaffaujajagafakaj mkubwa wewe
Huruma umeanza lini?





Espy lilibebwa na mfwala gani sijui.
Sasa wanachoka kwani wanayabeba!! Wananionea wivu![]()




Konyweeeeee!!
Aabujibujibuji....
Huruma ninao siku nyingi...hela nyingine sizitakagi![]()
Hata la dogo Karma lilibebwa.
Halafu ni Mwanaume... nililiona mahali...
Itabidi uwe na orodha ya hayo majina yote umewahi kubadili..
Eeeeeh!!!!Hata la dogo Karma lilibebwa.
