Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
swadakta,kwa kuliona hilo, shangazi ni kigoli
hii kigoli nacheka sana
swadakta,kwa kuliona hilo, shangazi ni kigoli
hii kigoli nacheka sana
Uongo bwana na uzee na ukigoli wapi na wapi we mzee jamanikwani nimesema uongo?
Tena kigoli haswaaaa, anayebisha aje anipige nimekaa palee![]()
na ukipigwa hatuji tunakuacha uendelee kupigwa tunasema kweli daimaSema kweli we mzee
mmh we ni kigoli haswa,ndo sababu humu sitokiUongo bwana na uzee na ukigoli wapi na wapi we mzee jamani
mnapiga watu?![]()
na ukipigwa hatuji tunakuacha uendelee kupigwa tu
hahahahahii kigoli nacheka sana
Asante binamu na kwako pia naona wote mmelikimbia jukwaaHeri ya Pasaka wadau wema wa Jukwaa hili adhimu.
Ni kweli, Amefufuka
mmh we ni kigoli haswa,ndo sababu humu sitoki
we mzee unataka nipigwe humu na bebez zako
Msome alivyosema we mzee utaelewa jamani nilivyomjibumnapiga watu?