Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila huu uzi umeupambania sana. Wadau sijui walishaga kufa
Kama wamekufa Mungu awapumzishe kwa Amani.

Auntie kuna mda siingii jf nikija makapuku hakuna mtu nasema bwana sipost kitu huwezi amini ikifika mda mwenyewe napost tu yaani sijui ni nini
 
Kama wamekufa Mungu awapumzishe kwa Amani.

Auntie kuna mda siingii jf nikija makapuku hakuna mtu nasema bwana sipost kitu huwezi amini ikifika mda mwenyewe napost tu yaani sijui ni nini
Uzi wa tangu tarehe 9/04/2016 hadi leo sio mchezo hapo wapo walio kufa pia wapo walio hai. Watakuja kuchungulia kama nilivokuja mimi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom