GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,681
- 18,011
Asante pia.Asante sana Genuine kwa kushukuru barikiwa
Asante pia.Asante sana Genuine kwa kushukuru barikiwa
Shukrani kipenziAsante pia.
Auntie umebaki peke yako na mpweku😂Nilijua tu [emoji1787][emoji1787] maana mpaka juzi kaingia mtu anacomment hii thread haina wachangiaji kabisa yupo mtu mmoja tu nilicheka sana kimoyomoyo
Kama wamekufa Mungu awapumzishe kwa Amani.Ila huu uzi umeupambania sana. Wadau sijui walishaga kufa[emoji134][emoji134][emoji134]
Ushakuwa na uraibu na uzi wako😀😀Kama wamekufa Mungu awapumzishe kwa Amani.
Auntie kuna mda siingii jf nikija makapuku hakuna mtu nasema bwana sipost kitu huwezi amini ikifika mda mwenyewe napost tu [emoji23] yaani sijui ni nini
[emoji23] Yaani auntie acha tuUshakuwa na uraibu na uzi wako[emoji3][emoji3]
Uzi wa tangu tarehe 9/04/2016 hadi leo sio mchezo hapo wapo walio kufa pia wapo walio hai. Watakuja kuchungulia kama nilivokuja mimiKama wamekufa Mungu awapumzishe kwa Amani.
Auntie kuna mda siingii jf nikija makapuku hakuna mtu nasema bwana sipost kitu huwezi amini ikifika mda mwenyewe napost tu [emoji23] yaani sijui ni nini
Auntie Aksha ebu njooUzi wa tangu tarehe 9/04/2016 hadi leo sio mchezo hapo wapo walio kufa pia wapo walio hai. Watakuja kuchungulia kama nilivokuja mimi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
shangazi nimekumissAuntie Aksha ebu njoo
Nimekumiss pia we mzeeshangazi nimekumiss
Ibrah jamani [emoji24] tena tulikuwa tunasoma story tunaambiwa kafarikiKuchungulia lazima tuje[emoji23][emoji23][emoji23]
Akina ibra ndio basi tena[emoji24][emoji24]
Unaweza kuta sio huyo tu, wengine labda taarifa haipo!Ibrah jamani [emoji24] tena tulikuwa tunasoma story tunaambiwa kafariki
Kweli auntie ujue au labda wengine wamebadili I'dUnaweza kuta sio huyo tu, wengine labda taarifa haipo!
nakumiss mpk naumwa,nimelazwa mapumzikoNimekumiss pia we mzee
Mh unaumwa kweli we mzeenakumiss mpk naumwa,nimelazwa mapumziko
kweli kbsMh unaumwa kweli we mzee
Pole sana nini zaidikweli kbs