Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20230323_071807_Opera%20Mini.jpg
 
Huu ni muonekano wa jengo la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Mpanda litakapokamilika, gharama ya mradi ni takribani Tsh. Bilioni 1.4 na jengo litakapokamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria 240 kwa wakati mmoja.

Mkandarasi amekabidhiwa eneo la mradi Machi 2023 na unatarajiwa kujengwa kwa mwaka mmoja na Kampuni ya Ujenzi ni Wesons Engineering Limited.
View attachment 2562194
....subiri kituko utakachokiona jengo halisi likijengwa. Jengo la darasa ulilosomea miaka hiyo ni zuri kuliko jengo litaloota hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom