Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Marekani imeonya kwamba Ulimwengu haupaswi kudanganywa na hatua za China kusema kwamba haiegemei upande wowote kwenye vita ya Urusi na Ukraine ambapo Marekani imesema China inamuunga mkono Putin na inaiuzia silaha Urusi.
China imekanusha vikali madai hayo tangu kuanza kwa vita ya Urusi na Ukraine mwaka jana ambapo Rais wa China Xi Jinping amesema mahusiano ya karibu kati ya Urusi na China yanahusu malengo na majukumu mengi ya pamoja na sio kwamba wanaunga mkono Urusi kwenye vita hiyo ambapo China imesisitiza inataka vita hiyo iishe kwa amani.
Katika hatua nyingine Rais Vladmir Putin amemwambia mwenzake wa China Xi Jinping kuwa Urusi iko tayari kuyajadili mapendekezo ya China ya kumaliza mapigano nchini Ukraine, Putin amesema hayo jana mwanzoni mwa mazungumzo kati ya Marais hao nchini Urusi wakati huu ambapo Rais wa China yupo Urusi kwenye ziara yake ya kikazi.
Mkutano wa Marais hao umefanyika wakati China ikitafuta kujiweka kama Nchi isiyoegemea upande wowote katika vita hivyo, Putin na Xi Jinping watakutana tena leo kwa mazungumzo rasmi.
China imekanusha vikali madai hayo tangu kuanza kwa vita ya Urusi na Ukraine mwaka jana ambapo Rais wa China Xi Jinping amesema mahusiano ya karibu kati ya Urusi na China yanahusu malengo na majukumu mengi ya pamoja na sio kwamba wanaunga mkono Urusi kwenye vita hiyo ambapo China imesisitiza inataka vita hiyo iishe kwa amani.
Katika hatua nyingine Rais Vladmir Putin amemwambia mwenzake wa China Xi Jinping kuwa Urusi iko tayari kuyajadili mapendekezo ya China ya kumaliza mapigano nchini Ukraine, Putin amesema hayo jana mwanzoni mwa mazungumzo kati ya Marais hao nchini Urusi wakati huu ambapo Rais wa China yupo Urusi kwenye ziara yake ya kikazi.
Mkutano wa Marais hao umefanyika wakati China ikitafuta kujiweka kama Nchi isiyoegemea upande wowote katika vita hivyo, Putin na Xi Jinping watakutana tena leo kwa mazungumzo rasmi.
️ Paul Acquah (Rivers United)
Lionel Messi, 35, huenda akarejea tena Barcelona katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi kutokana na mawasiliano ya karibu aliyonayo kwa sasa na kocha wa wababe hao Xavi Hernandez.
“Kwa Horoya ilikuwa rahisi kwa Simba kufanya kila walichotaka uwanjani kwa sababu wapinzani wao walionekana kuwa DHAIFU na hawakuwa na mipango madhubuti. Hata katika pambano la kwanza kule Conakry, Simba hawakustahili kupoteza pointi tatu kama kina John Bocco wangekuwa makini.

siombei wakutane na Simba kwenye Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Jamaa wanatisha balaa. Ni bora wakutane na kinara wa kundi A ambaye kuna uwezekano mkubwa akawa Wydad
au kinara wa kundi D ambaye kuna uwezekano mkubwa akawa ni Esperance
Ukipangwa kucheza na wale jamaa unapaswa kujipanga vilivyo ili wasikutoe na kukuaibisha vinginevyo ukijichanganya wanaweza kukupiga 10 wale nimekaa paleeeeeeee.