Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
KMC HALI TETE!
Katika michezo 14 iliyopita ya Ligi Kuu 2022|23, KMC imeshinda mechi mbili tu! Ni matokeo mabaya zaidi kwa timu hiyo ya Manispaa ya Kinondoni katika nyakati hizi Ligi inapoelekea kumalizika.
Kwenye mechi hizo 14 zilizopita, KMC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Coastal Union na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Polisi Tanzania. Mechi zote zilichezwa uwanja wa Uhuru [uwanja unaotumiwa na KMC kwa mechi zake za nyumbani].
Mechi nyingine 12 ni mchanganyiko wa sare na kupoteza! Imepoteza mechi nane (8) na kutoka sare kwenye mechi nne (4).
Kwenye mechi tano (5) zilizopita, KMC imepoteza mechi nne (4) na kuambulia sare moja (1). Kwa maana hiyo, katika mechi tano (5) zilizopita KMC imepata alama moja tu!
Ipo nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi ikiwa na alama 23 tofauti ya alama moja (1) na Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 13 ikiwa ni sehehemu ya kucheza play offs kubaki Ligi Kuu.
Katika michezo 14 iliyopita ya Ligi Kuu 2022|23, KMC imeshinda mechi mbili tu! Ni matokeo mabaya zaidi kwa timu hiyo ya Manispaa ya Kinondoni katika nyakati hizi Ligi inapoelekea kumalizika.
Kwenye mechi hizo 14 zilizopita, KMC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Coastal Union na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Polisi Tanzania. Mechi zote zilichezwa uwanja wa Uhuru [uwanja unaotumiwa na KMC kwa mechi zake za nyumbani].
Mechi nyingine 12 ni mchanganyiko wa sare na kupoteza! Imepoteza mechi nane (8) na kutoka sare kwenye mechi nne (4).
Kwenye mechi tano (5) zilizopita, KMC imepoteza mechi nne (4) na kuambulia sare moja (1). Kwa maana hiyo, katika mechi tano (5) zilizopita KMC imepata alama moja tu!
Ipo nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi ikiwa na alama 23 tofauti ya alama moja (1) na Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 13 ikiwa ni sehehemu ya kucheza play offs kubaki Ligi Kuu.
Nikisikia chochote huwa nina tabia ya kuwauliza na nawasisitiza waniambie ukweli na wanafahamu siku wakinidanganya basi kesho yake hawatonikuta hapa, mara nyingi huwa wanasema sio kweli na mimi nawaamini.