Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Tanzania milango iko wazi kwenye uwekezaji wa Sekta ya Nishati kutokana na uwepo wa mahitaji makubwa ya Nishati katika uzalishaji na usambazaji kwenye maeneo ya Sekta hiyo.
Waziri Makamba ameyasema hayo Dar es salaam katika mkutano wa Wadau wa Nishati, Wawekezaji, Makampuni ya Nishati kutoka Nje, Mabalozi wa Nchi mbalimbali ambao unaangazia hali ya Nishati sambamba na maendeleo yaliyofikiwa.
Waziri Makamba amesema “Kwanini Tanzania?, Kwanini sasa? Tanzania ni mahali sahihi penye amani katika kufanya uwekezaji, hivyo tunawakaribisha Wawekezaji wenye tija kuwekeza kwenye Sekta ya Nishati Nchini”
Kwa upande wao Washiriki katika Mkutano huo wamepongeza juhudi za Serikali katika Sekta ya Nishati kwa kufungua wigo wa uwekezaji sambamba na kutatua changamoto zinazoikabili Sekta hiyo ikiwemo urasimu.
Mkutano umeandaliwa na EnergyNet kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati, EWURA, TPDS na TANESCO.
Waziri Makamba ameyasema hayo Dar es salaam katika mkutano wa Wadau wa Nishati, Wawekezaji, Makampuni ya Nishati kutoka Nje, Mabalozi wa Nchi mbalimbali ambao unaangazia hali ya Nishati sambamba na maendeleo yaliyofikiwa.
Waziri Makamba amesema “Kwanini Tanzania?, Kwanini sasa? Tanzania ni mahali sahihi penye amani katika kufanya uwekezaji, hivyo tunawakaribisha Wawekezaji wenye tija kuwekeza kwenye Sekta ya Nishati Nchini”
Kwa upande wao Washiriki katika Mkutano huo wamepongeza juhudi za Serikali katika Sekta ya Nishati kwa kufungua wigo wa uwekezaji sambamba na kutatua changamoto zinazoikabili Sekta hiyo ikiwemo urasimu.
Mkutano umeandaliwa na EnergyNet kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati, EWURA, TPDS na TANESCO.
Tulifanya kila kitu kuhakikisha Enzo anabaki mpaka angalau dirisha kubwa lakini Mchezaji hakuwa tayari, baada ya kugundua kuwa hayupo tayari kuvaa jezi yetu nikaamini hafai hata kuingia kwenye vyumba vyetu ndio maana tukamruhusu aende, Mchezaji akitaka kuondoka basi unamruhusu aende.