Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Farhan Jr
Wakati nasikia tetezi za Yanga kuhusu Mdhamini mpya kwa ajili ya michuano ya kimataifa nilipata shaka kidogo, kwakuwa niliwahi kupitia scenarios mbili kuhusu suala kama hili, nikapata ukakasi hata wa kupost hizi jezi mpya na sikupost kabisa.
Mdhamini Mkuu wa Real Madrid miaka ya 2009 huko ilikuwa Kampuni ya ubashiri ya Mtandaoni (siwezi kuitaja kwakuwa mkataba wangu hauruhusu) sasa ikatokea Madrid wana mechi ya FC Zurich ya Uswisi kwenye UEFA, ambapo Uswisi haendani na kanuni za Ulaya.
Uswisi hawaruhusu matangazo ya Kampuni za ubashiri za mtandaoni, hivyo Madrid na Mdhamini wake Mkuu ambaye alikuwa kifuani hawakupaswa kuvaa hizo jezi, Madrid wakawasiliana na Mdhamini wao mkuu juu ya sakata hilo.
Madrid hawakujiamulia nini cha kufanya, bali wakawasiliana na Mdhamini Mkuu ambaye akawaambia nendeni mkacheze bila Mdhamini kifuani, yani shati iwe plain Madrid wasiweke kitu chochote, kweli Madrid ilicheza hivyo.
Nikaja kuitazama na issue ya Yanga siku wanazindua jezi mpya na kutangaza Mdhamini mpya kwa ajili ya CAF, nilichoka sana kwakuwa binafsi sikuwahi kuona scenario kama hiyo popote duniani yani timu ina Wadhamini wakuu wawili kifuani? Haijawahi tokea.
Yes CAF wana mkataba na Kampuni nyingine ya ubashiri na ili kuondoa mgongano timu zote zenye Kampuni kama hiyo hazipaswi kuvaa betting, sasa ni lazima Yanga na Mdhamini Mkuu wakar chini kujadili.
Yanga anapaswa kumsikiliza Mdhamini Mkuu nini anataka kwakuwa ndie mwenye haki kama ambavyo hata Real Madrid walifanya, sasa Mdhamini Mkuu alitaka muweke VISIT TANZANIA ninyi ikawaje mkajiamulia vinginevyo? Ni aibu wakati mwingine vitu kama hivi.
SIMBA wana scenario kama hii na walitumia VISIT TANZANIA, sio kwamba hakuna Kampuni zilitaka kukaa kifuani la hasha! Ni kuwa Simba wanaheshimu mkataba wao na hata Mdhamini Mkuu wa Yanga amewasifia wazi wazi, najaribu kuwaza taswira ya Yanga mbele ya wadhamini, inafikirisha.
Wakati nasikia tetezi za Yanga kuhusu Mdhamini mpya kwa ajili ya michuano ya kimataifa nilipata shaka kidogo, kwakuwa niliwahi kupitia scenarios mbili kuhusu suala kama hili, nikapata ukakasi hata wa kupost hizi jezi mpya na sikupost kabisa.
Mdhamini Mkuu wa Real Madrid miaka ya 2009 huko ilikuwa Kampuni ya ubashiri ya Mtandaoni (siwezi kuitaja kwakuwa mkataba wangu hauruhusu) sasa ikatokea Madrid wana mechi ya FC Zurich ya Uswisi kwenye UEFA, ambapo Uswisi haendani na kanuni za Ulaya.
Uswisi hawaruhusu matangazo ya Kampuni za ubashiri za mtandaoni, hivyo Madrid na Mdhamini wake Mkuu ambaye alikuwa kifuani hawakupaswa kuvaa hizo jezi, Madrid wakawasiliana na Mdhamini wao mkuu juu ya sakata hilo.
Madrid hawakujiamulia nini cha kufanya, bali wakawasiliana na Mdhamini Mkuu ambaye akawaambia nendeni mkacheze bila Mdhamini kifuani, yani shati iwe plain Madrid wasiweke kitu chochote, kweli Madrid ilicheza hivyo.
Nikaja kuitazama na issue ya Yanga siku wanazindua jezi mpya na kutangaza Mdhamini mpya kwa ajili ya CAF, nilichoka sana kwakuwa binafsi sikuwahi kuona scenario kama hiyo popote duniani yani timu ina Wadhamini wakuu wawili kifuani? Haijawahi tokea.
Yes CAF wana mkataba na Kampuni nyingine ya ubashiri na ili kuondoa mgongano timu zote zenye Kampuni kama hiyo hazipaswi kuvaa betting, sasa ni lazima Yanga na Mdhamini Mkuu wakar chini kujadili.
Yanga anapaswa kumsikiliza Mdhamini Mkuu nini anataka kwakuwa ndie mwenye haki kama ambavyo hata Real Madrid walifanya, sasa Mdhamini Mkuu alitaka muweke VISIT TANZANIA ninyi ikawaje mkajiamulia vinginevyo? Ni aibu wakati mwingine vitu kama hivi.
SIMBA wana scenario kama hii na walitumia VISIT TANZANIA, sio kwamba hakuna Kampuni zilitaka kukaa kifuani la hasha! Ni kuwa Simba wanaheshimu mkataba wao na hata Mdhamini Mkuu wa Yanga amewasifia wazi wazi, najaribu kuwaza taswira ya Yanga mbele ya wadhamini, inafikirisha.