Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe amewataka Wazazi ambao Watoto wao wanaingia Kidato cha Kwanza wahakikishe wanawapeleka Shule hata kama hawana sare (uniform) kwasababu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr.Samia Suluhu Hassan ameshawalipia ada.
DC Godwe ameyasema hayo leo wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari ndani ya Wilaya hiyo, huku akigusia pia suala la uwepo wa vyakula Shuleni na umuhimu wa kuwa na Wasimamizi wa Kike kwenye magari ya Shule binafsi ili kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa Watoto.
"Wazazi wote ambao Watoto wao wanaingia kidato cha kwanza wasijali hata kama Watoto hawana uniform hakikisheni Watoto wote mnawaleta Shule hatutaangalia kwamba hana uniform ama nini bali aje na mambo yatakwenda taratibu hatuwezi kusubiri mpaka kumkosesha Mtoto masomo wakati anaweza kuja na kuendelea na masomo, avae nguo zake za Shule ya Msingi aje”
Katika hatua nyingine DC Gondwe amewapongeza Wazazi, Walimu na uongozi wa Halmashauri ya Kinondoni kutokana na matokeo ya Kitaifa ambapo wilaya hiyo imeongoza nchi nzima na kuwa ya kwanza kwa kufaulisha shule ya Msingi kwa asilimia 98.53.
DC Godwe ameyasema hayo leo wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari ndani ya Wilaya hiyo, huku akigusia pia suala la uwepo wa vyakula Shuleni na umuhimu wa kuwa na Wasimamizi wa Kike kwenye magari ya Shule binafsi ili kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa Watoto.
"Wazazi wote ambao Watoto wao wanaingia kidato cha kwanza wasijali hata kama Watoto hawana uniform hakikisheni Watoto wote mnawaleta Shule hatutaangalia kwamba hana uniform ama nini bali aje na mambo yatakwenda taratibu hatuwezi kusubiri mpaka kumkosesha Mtoto masomo wakati anaweza kuja na kuendelea na masomo, avae nguo zake za Shule ya Msingi aje”
Katika hatua nyingine DC Gondwe amewapongeza Wazazi, Walimu na uongozi wa Halmashauri ya Kinondoni kutokana na matokeo ya Kitaifa ambapo wilaya hiyo imeongoza nchi nzima na kuwa ya kwanza kwa kufaulisha shule ya Msingi kwa asilimia 98.53.
ametangaza kustaafu soka Nyota huyo amecheza mechi za taifa lake Wales 111 pia amechezea klabu za Southampton, Tottenham Hotspurs, Real Madrid na LAFC.
Nyota Joao Felix yupo mbioni kujiunga na Chelsea kwa mkopo akitokea Atletico Madrid kwa mujibu wa Mwandishi @fabriziorom ambapo mkopo huo utadumu mpaka mwishoni mwa msimu huu.