Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu congratulations once again ...
Hapo kwenye majina mkuu🤣🤣🤣 Obe Mtoe kabisaa , asije kubeba tabia zake
...tabia za mtu mtiifu, mlipa kodi mwaminifu, asiepokea wala kuomba rushwa hadharani (nafasi yangu kazini bado sijafikia cheo cha kupokea rushwa-mniombee nikipate nianze kula kwa urefu wa kamba), tabia ya kwenda kanisani huku nikiwa na namba za mganga na mpiga ramli. Tabia nzuri ya kuoga nimevua nguo.

Hizi tabia zote ni za kurithi na Lee ni ndugu wa damu sema ulevi umetutenganisha.
Halafu makaveli10 huu ni wakati muafaka wa kuacha kubet, pampus zimepanda sana bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom