Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
ShikamoooEenh jamani kweli mwisho wa mwaka watu wanaonekana baada ya kutekwa
ShikamoooEenh jamani kweli mwisho wa mwaka watu wanaonekana baada ya kutekwa
Huwezi acha asiliNaanzaje kuacha kucheka![]()
Hongereni sana jamani Mungu azidi kumkuza mtoto kwenye mikono impendezayo yeye.Ndugu zangu, namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume
Shemeji yenu, wifi yenu, shangazi yenu a aendelea vizuri.
Mkimuona obe, mumpe taarifa
Makapuku ni familia yangu.
Amin shunie akeeHongereni sana jamani Mungu azidi kumkuza mtoto kwenye mikono impendezayo yeye.
Hongera sana ndugu , yaani hongera mno.Ndugu zangu, namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume
Shemeji yenu, wifi yenu, shangazi yenu a aendelea vizuri.
Mkimuona obe, mumpe taarifa
Makapuku ni familia yangu.
....kaka Makaveli hongera sana kwako na bibie.Ndugu zangu, namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume
Shemeji yenu, wifi yenu, shangazi yenu a aendelea vizuri.
Mkimuona obe, mumpe taarifa
Makapuku ni familia yangu.
Amin kaka, amin.....kaka Makaveli hongera sana kwako na bibie.
Zawadi nzuri na ni furaha kwa wote.
Hongereni sana kwa ujio wa fungu hili la furaha.
Nakutakia kipato, afya na uwezo wa kumtunza mtoto huyu katika njia sahihi.
Amin ndugu yangu.Hongera sana ndugu , yaani hongera mno.
Binafsi namtakia mema yote huyo mtoto akakue katika makuzi sahihi kwa wakati sahihi, akawa mwanaume katika wanaume, akawe mkamilifu katika ukamilifu wote.
Hongereni tena muwe na moyo mzuri wa malezi bora kwake.
AmeeenHongera sana ndugu , yaani hongera mno.
Binafsi namtakia mema yote huyo mtoto akakue katika makuzi sahihi kwa wakati sahihi, akawa mwanaume katika wanaume, akawe mkamilifu katika ukamilifu wote.
Hongereni tena muwe na moyo mzuri wa malezi bora kwake.
....kaka Makaveli hongera sana kwako na bibie.
Zawadi nzuri na ni furaha kwa wote.
Hongereni sana kwa ujio wa fungu hili la furaha.
Nakutakia kipato, afya na uwezo wa kumtunza mtoto huyu katika njia sahihi.



Mekumiss teacher TumosaHuwezi acha asili

Hongera mno kakaNdugu zangu, namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume
Shemeji yenu, wifi yenu, shangazi yenu a aendelea vizuri.
Mkimuona obe, mumpe taarifa
Makapuku ni familia yangu.

...huyu ni aunt yangu kabisa lakini kuipata labda nikatambike, tuna ugomvi wa korosho. Nilimtumia kwa basi la Wifi Naye, dereva akampa bodaboda mzigo wote kumbe boda naye alikuwa na biashara ya kashata, korosho za zawadi akafanyia mtaji






..tugange yajayo aunt, achana na mabaya yangu, tafuta lile moja zuri halafu ndiyo uliuze kwa Maki, yaani hilo zuri moja (kama lipo) lipeperushe kama shahada ya mama. na nikikubaliwa tu basi nakufanyia mchongo na wewe unapata PHD.






Hongera tena na tena Mwenyekiti..Ndugu zangu, namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume
Shemeji yenu, wifi yenu, shangazi yenu a aendelea vizuri.
Mkimuona obe, mumpe taarifa
Makapuku ni familia yangu.
Amin ndugu mjumbe, kangekuwa ka kike nahisi ningekaita makiwendo, shunie, reymage au ZurieHongera tena na tena Mwenyekiti..
Mungu na akukuzie..
Shukrani kakaHongera mno kaka![]()