makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,744
- 103,665
Shunie waswahili wanasema, mambo yakienda kombo, yaache usiende nayo...tugange yajayo aunt, achana na mabaya yangu, tafuta lile moja zuri halafu ndiyo uliuze kwa Maki, yaani hilo zuri moja (kama lipo) lipeperushe kama shahada ya mama. na nikikubaliwa tu basi nakufanyia mchongo na wewe unapata PHD.



