Makapuku Forum

Makapuku Forum

Amin ndugu mjumbe, kangekuwa ka kike nahisi ningekaita makiwendo, shunie, reymage au Zurie

Sasa ni kidume nawaza kati ya Obe na Lee nimchagulie jina gani.. Toka jana napiga ana ana do ila sipati jibu, narusha shilingi ila inatua imesimama, haiangukii bichwa wala mwenge.

Angekuwa wa kike kweli jina tayari tunalo...

Ila wa kiume hayo majina hapo Usijaribu
 
Amin ndugu mjumbe, kangekuwa ka kike nahisi ningekaita makiwendo, shunie, reymage au Zurie

Sasa ni kidume nawaza kati ya Obe na Lee nimchagulie jina gani.. Toka jana napiga ana ana do ila sipati jibu, narusha shilingi ila inatua imesimama, haiangukii bichwa wala mwenge. 😂
Mkuu congratulations once again ...
Hapo kwenye majina mkuu🤣🤣🤣 Obe Mtoe kabisaa , asije kubeba tabia zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom