mlete mtoto mlitoWoyaaaaaa
Nipo apa we mzeemlete mtoto mlito

leta newsNipo apa we mzee![]()
Hello Lee,, good morning 👋

MlinziiiiiiiAaah forum yangu ya kitambo hii
Daah nimewamiss sana
Nawapendaa!!!![]()
Ankoo shikamoo.,anko nipo ndugu yako, nimerudi tena. Salamu zako sikuzipata nashukuru kwa kutozituma.
Mlinziiiiiii


mlinzi lindoni, sijui ata nafasi yangu alikaimu nani. Afu pia nilikua mlinzi mzembe sana


Alisemaga pele kiwa timu ya africa itashinda kombe la dunia kabla ya mwaka 2000 lakini wapi.Moja kati ya wazo kubwa la Jose Mourinho ni kuwa wachezaji wote wenye asili ya Afrika wacheze kwenye timu zao za asili na sio Ulaya, anaamini Afrika ina uwezo wa kutoa bingwa wa kombe la dunia kama vipaji vyao vikavaa jezi za nchi zao.View attachment 2397170