Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ske kila sector tunakwama tuu mzeya.
Viongozi wanaangalia maslai yao ya muda mfupi. Timu inaenda shiriki mashindano, msafara wa viongozi ni mkubwa kuliko wahusika wakuu.
Tatizo lingine Tunaishi nje ya uhalisia wetu kwa kujiona tuko Juu, kumbe bado tuko chini.

La kushangaza Mataifa yenye pesa kuliko sisi ayafanyi hivyo.
 
Tatizo lingine Tunaishi nje ya uhalisia wetu kwa kujiona tuko Juu, kumbe bado tuko chini.

La kushangaza Mataifa yenye pesa kuliko sisi ayafanyi hivyo.
Wee sii u aona waarabu walivyo wajanja....walishakubali kuwa mzungu ana akili kuliko wao ila wao waarabu wamebarikiwa mafuta. So haya mafuta yatatupa hela ya kuwaaniri hawa wazungu watujengee nchi zetu
 
Me nawaangalia naishia kuckitika
255758705754_status_89f76012f5fd4fac8a76058b18b14c22.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Anko wangu Lee baada ya kuwalisha Twiga akaona apate na picha nzuri hapa. Mimi nikamchukua picha mjongeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom