Hili jukwaa nilikuwa silioni, nikahisi uzi umefutwa.Hatimaye auntie wamekuachia huwa nakuona uko majukwaa mengine
mie niko poa kbs,leta maneno,uliadimika sanaSafi tu, sijui upande wako?
Tuko siteEeeenh

Sasa hivi simu tunazi'mute tu...Hapo hamuwezi kuonekana ata kwa dawa
Sitaki😏😏Samaleko![]()
Bando mtihani ndugu yangu!mie niko poa kbs,leta maneno,uliadimika sana
Basi....Kaa hivyoSitaki![]()

Ukipata nigawieko na mimi MwaegoBando mtihani ndugu yangu!

Kwendraaaa!Basi....Kaa hivyo![]()
Nijikute tu!Ukipata nigawieko na mimi Mwaego![]()
Haaha kwamba lilipotea kwa upande wako ila we ndio auntie yangu sikushangaiHili jukwaa nilikuwa silioni, nikahisi uzi umefutwa.
Hivi nacheka niniBando mtihani ndugu yangu!
SikwendiiiiKwendraaaa!
Naaaaaam Auntie....uzuri ni kwamba nakuelewa vyedi tu

Kweli auntie🤣🤣🤣Haaha kwamba lilipotea kwa upande wako ila we ndio auntie yangu sikushangai