Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Khaaa!!Mmmmh!!
Khaaa!!Mmmmh!!
Hahaha kweli auntie
Nilicheka sana
Hahahah acha nikuulize tu ebu niambie auntie kilichokuchekesha
Nimesoma hii Comment nikacheka sana Auntie....
Naomba usiniulize kwanini?
Hahahah acha nikuulize tu ebu niambie auntie kilichokuchekesha




Hahahha kwamba umekumbuka nini eti auntie yangu mzuri mzuri
Acha tu Auntie....
Namna ulivyoandika kwanza imenichekesha..
mama makapuku tena akiii nimecheka sanaaa nimekumiss pia kipenzi changu




Haha si nilikuwa nakuzingua tuSi ulinikaribisha viporo![]()
Auntie yangu Mzuri mzuri....Tulia kwanzaHahahha kwamba umekumbuka nini eti auntie yangu mzuri mzuri

Kwani viporo huyo Mama yako hali?Haha si nilikuwa nakuzingua tu
Miss you pia Baby....
Waendeleaje?




Kanakula vizuri sana sema mie si kananidekea tu hapaKwani viporo huyo Mama yako hali?
Nipo Kipenzi....
Niko poa kabisa hofu kwako
Umepotea
Kanakula vizuri sana sema mie si kananidekea tu hapa
Ningeshangaa...Mmhh lini sasaNipo Kipenzi....
Japo letu lile linasubiri bado....
Itabidi uniambie tena sasa....Mmhh lini sasa

Itabidi uniambie tena sasa....
Maana ile siku mambo yalikotokomea sijui![]()




Eti itabidi uniambie tena sasa
Yaani bora hata umesema mwenyewe




Morning BoogMorning kapuku's