Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Nawamiss watu wangu wa nguvu wa mtaa huu

Farhan Jr

Farhan Jr

Farhan Jr

Farhan Jrhahahahaha,kwa habari hii acha nicheke kwanzaFarhan Jr
Katika vitu ambavyo Simba wanapaswa kujipongeza ni kuoutsource suala la scouting za wachezaji kikosini mwao, wakafanikiwa zaidi pia kwenye kufanya performance analysis mwishoni mwa msimu (hufanyika na Watalaam kutoka Afrika Kusini).
Simba wanafanya kazi kwa ukaribu mno na AGENCIES mbalimbali za wachezaji ambazo zinawaletea quality kubwa mno ijapo baadhi wanafeli kufikia matarajio kutokana na sababu nyingi ila wengi wanafanikiwa.
Mifuko ya MO inapasuka sana, unapasuka kulipa Agencies, unapasuka kuinasa hiyo quality na unapasuka kuilea na kuilipa hiyo quality ili ikupe matokeo uwanjani, Okrah is a great player ambaye atawasaidia sana Simba.
Hata kama udalali upo upo ila kwa kiasi kikubwa umepungua kwasasa tangu waipate network nzuri ya Mawakala.
Mabadiliko yoyote yale ni process hakuna overnight process, taratibu hatua kwa hatua soka litabadilika na kufikia level kubwa.
View attachment 2372075
hahahahahahaFarhan Jr
Fanya ufanyavyo ila Matajiri wengi wanapenda vitabu vibalance, wanapenda kuona CEO anaokoa hata mia mbovu ambayo ingekuwa hasara kwa Boss.
Roman Abramovich pale Chelsea alikuwa na Marina ambaye alimtoa kwenye kampuni zake za mafuta, hakuwa na interests za kimpira ila alikuwa na interests kubwa za kibiashara, yani Chelsea ikuwe na Boss asipasuke sana.
Nyote mnakumbuka namna Marina alivyosajili sana kwa bei rahisi na kuuza wachezaji kwa bei mbaya sana, nyote mnakumbuka namna Chelsea ilivyopanda thamani na NIKE walivyodouble pesa pale.
Huyu Barbra kutoka London School of Economics, anaweza asiufahamu sana mpira kama wengine ila anaifahamu biashara ndani ya mpira, anafahamu KPIs za biashara ya mpira, Boss MO amerelax tu huko Dubai.
Katika hali ya kawaida Bwana Dejan angeweza kudai mabillion ya pesa kwenye mkataba ule wa miaka mitatu lakini kwa hesabu kali za kimpira huenda akailipa Simba au waamue tu kumwachia, hesabu hizo za mpira.
Ingekuwa zamani MO angepigiwa simu na kuambiwa Boss tunapaswa kumlipa Dejan! Naam ni akili kama hizi za biashara ambazo zinachukuwa sana kwenye mpira kwakuwa wao mpira sio sifa bali BIASHARA.
Huyu akisema aseme yote yanayoendelea maishani mwake atajaza vitabu, kama ambavyo Marina alivyoingia na kugundua mengi ya Michael Emenalo na namna ambavyo sometimes alikuwa anafuja mtonyo wa Roman.
Nipo zangu kwenye Abood naelekea Nyumbani Morogoro nataka niwahi ugali na mlandu kaliandili, wapi ndipi ramani na Baunsa kutoka Mto Lumemo na Kivukoni, IfakaraView attachment 2372077
Tanqueray unayotumia ni special order eeh



Tunavunja Vikoba Shem lakeMashangazi wetu nani kawateka

Naijulia wapi hizo mambo zenu matajiri
Kwanini?Nawe unaitumia?
Hapo hamuwezi kuonekana ata kwa dawaTunavunja Vikoba Shem lake![]()
EeeenhTunavunja Vikoba Shem lake![]()
ooh mambo mkuumtu chake nakusalimia mkuu.
Safi tu, sijui upande wako?ooh mambo mkuu
Huh!! 🙆🙆🙆Haha pole mama karibu tule kiporo hapa