Makapuku Forum

NINJA AIWAHI SINGIDA BIG STARS
.
Beki wa Yanga, Abdallah Shaibu Ninja rasmi sasa yupo tayari kuitumikia Dodoma Jiji kwa mkopo na kama kocha Masoud Djuma ataamua kumpa nafasi basi ataanza kazi leo kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars.
.
Beki huyo aliyewahi kucheza soka la kulipwa nchini Marekani katika Klabu ya LA Galaxy Julai mwaka huu aliongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Yanga kabla ya kutolewa kwa mkopo ili apate nafasi zaidi ya kuendeleza kipaji chake na Dodoma wakambeba.

…………………
 
Imeandikwa na @swalehmawele

Sijui kama wenzangu mmeliona hili, ilianza kwa Zolan Maki, ikaja kwa Seleman Matola na sasa Juma Mgunda, unajua nini kuhusu Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho? nitakwambia kitu halafu ukichunguze siku ambayo hawa wawili watakapokuwa wakicheza.

Chama amepunguziwa mzigo ndani ya Simba, ndio!, Chama wa sasa anaishambulia zaidi zonal 14 ( lile eneo karibu na D ), hafanyi mikimbio mingi, hachezeshi sana timu kutokea chini, hilo jukumu lipo mabegani kwa Pape Ousmane Sakho, fatilia vizuri hili jambo.

Zitazame zile dribbling za Sakho kutokea chini, angalia namna anavyoitafuta space, ataingia ndani ( inverted ), atakimbia na mpira, atapiga pasi na kufanya vitu vingi kama playmaker, ni rahisi kusema kuwa playmaker wa sasa wa Simba ni Pape Ousmane Sakho.

Yes! ni playmaker anaetokea pembeni, anakuwa free pia, wakati ambao Pape anakuwa na mpira utamuona Chama anaishambulia zonal 14, hapa ni kumpunguzia majukumu Chama ambae alikuwa na role ya kutengeneza nafasi na kuchezesha timu, Chama wa sasa yupo kwa ajili ya kulisha zaidi.

 
kwani kn mtu anakereka kutokea wapi? shangazi
 
swahiba umeamkaje ?
 
Kuna nini ?
 
Hili ndio gari lilobeba mwili wa Malkia. Mwili wa Malkia Elizabeth umeondoka leo kutoka kwenye Kasri la Balmoral kuelekea mji mkuu wa Scotland Edinburg. Watu wa Scotland wataaga mwili siku ya Jumanne, na baadae siku hiyo hiyo, mwili utaondoka na kupelekwa London kwenye Kasri la Buckingham. Mwili wa Malkia utazikwa siku ya Jumamosi kwenye kanisa la Mtakatifu George huko London, Uingereza. Atazikwa pembeni ya kaburi la mumewe, Prince Philip aliyefariki mwaka jana...!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…