muandishi wakujitegemeaMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametangaza kuondoa katazo lililokuwa likizuia Mabasi yaendayo Mikoani na nje ya Nchi kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi na badala yake ameruhusu utaratibu huo kuendelea kwa sharti la kila basi kuingia ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli.
RC Makalla ametoa maamuzi hayo wakati wa kikao cha pamoja baina ya LATRA, Wamiliki wa stendi binafsi na Halmashauri ya Ubungo na kubaini pasipokuwa na shaka kuwa waliotengeneza vituo binafsi walifuata taratibu na kupatiwa vibali na LATRA baada ya kukidhi vigezo.
Miongoni mwa vigezo vilivyotolewa na LATRA ili kuruhusiwa kuanzisha stendi binafsi ni pamoja na uwepo wa vyoo, sehemu ya mapumziko kwa abiria, viburudisho na sehemu ya maegesho.
Kutokana na hilo RC Makalla ameridhia vituo binafsi vitamo vilivyohakikiwa kuendelea kutoa huduma na kufungua milango kwa Wamiliki wengine wanaohitaji kuwa na vituo binafsi kushirikiana na LATRA ili wapatiwe vigezo vinavyohitajika ambapo wamepewa Mamlaka ya kufuta au kutoa leseni.
View attachment 2342334
DaahWorld Economic Forum imetoa orodha ya nchi 10 duniani zinazowalipa walimu mishahara mikubwa zaidi.
10. Austria : $62,882 (Sawa na TZS 146,640,824)
9. Ireland : $62,906 (Sawa na TZS 146,696,792)
8. Denmark: $64,259 (149,851,988)
7. Mexico: $64,491 (Sawana TZS 150,393,012)
6.United States: $65,248 (Sawa na TZS 152,158,336)
5.Australia: $65,714 (Sawa na TZS 153,245,048)
4: Canada: $71,664 (Sawa na TZS 167,120,448)
3. The Netherlands: $81,064 (Sawa na 189,041,248)
2. Germany: $91,041 (212,307,612)
1. Luxembourg: $109,204 (Sawa na 254,663,728).
View attachment 2342317
Hiki ndicho tozo zinachoenda kufanya wasitudanganye hapa"Nachukia kumtoza mtu fedha yake. Lakini nachukia zaidi kuona mtoto wa maskini ndoto yake inaisha kwa sababu ya umaskini wa familia yake."
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba.View attachment 2342326
DahHiki ndicho tozo zinachoenda kufanya wasitudanganye hapaView attachment 2342396
Yaani bora alivyokuwa kimya kuliko huu utopolo alioelezea.Cha kujitetea hawana aibu
Auntie nahamia Austria 🤣🤣🤣🤣World Economic Forum imetoa orodha ya nchi 10 duniani zinazowalipa walimu mishahara mikubwa zaidi.
10. Austria : $62,882 (Sawa na TZS 146,640,824)
9. Ireland : $62,906 (Sawa na TZS 146,696,792)
8. Denmark: $64,259 (149,851,988)
7. Mexico: $64,491 (Sawana TZS 150,393,012)
6.United States: $65,248 (Sawa na TZS 152,158,336)
5.Australia: $65,714 (Sawa na TZS 153,245,048)
4: Canada: $71,664 (Sawa na TZS 167,120,448)
3. The Netherlands: $81,064 (Sawa na 189,041,248)
2. Germany: $91,041 (212,307,612)
1. Luxembourg: $109,204 (Sawa na 254,663,728).
View attachment 2342317
Upuuzi ntupu 63% ya bajeti inaenda kwenye matumizi tu 37% ndio inafanya mambo ya maendeleo. Wananunua 'mavieite' halafu anakuja na propaganda za kipuuzi tu. Wanatujua watz tulivyo mabozozo maana na hili litapita tu."Tumeendelea na tozo kwa sababu kuna majukumu mengine hatuwezi kuyaahirisha. Lakini pia kuna mambo mengine hayako kwenye shughuli za uzalishaji na yenyewe sio ya kuyaahirisha [kama Bwawa la Nyerere, reli]."
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba.View attachment 2342324
Si tuliambiwa inafilisika sababu wamekopesha na kujikopesha mikopo isiyo na tija!! Leo anakuja kuisafisha!! Aisee hili linchi🙌🙌🙌🙌Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema chanzo cha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuyumba ni pamoja na kuwepo kwa matumizi yasiyo na tija kwa wagonjwa ikiwemo kurudia kufanya vipimo mara kwa mara katika hospitali tofauti.
“Kwanini NHIF iko katika hatari? ni sisi wenyewe wananchi. Leo nimeenda Muhimbili hospitali, nimeenda kufanya kipimo cha X-ray na vipimo vingine nimeandikiwa na dawa, kesho naenda private [hospitali binafsi] nafanya kipimo, naandikiwa dawa, ugonjwa huo huo. Sasa hapo kwanini NHIF isife kama tunaenda kwa mtindo huu?” amesema Waziri Ummy.View attachment 2342328
Tengeneza tatizo, then litatue🤣🤣Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametangaza kuondoa katazo lililokuwa likizuia Mabasi yaendayo Mikoani na nje ya Nchi kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi na badala yake ameruhusu utaratibu huo kuendelea kwa sharti la kila basi kuingia ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli.
RC Makalla ametoa maamuzi hayo wakati wa kikao cha pamoja baina ya LATRA, Wamiliki wa stendi binafsi na Halmashauri ya Ubungo na kubaini pasipokuwa na shaka kuwa waliotengeneza vituo binafsi walifuata taratibu na kupatiwa vibali na LATRA baada ya kukidhi vigezo.
Miongoni mwa vigezo vilivyotolewa na LATRA ili kuruhusiwa kuanzisha stendi binafsi ni pamoja na uwepo wa vyoo, sehemu ya mapumziko kwa abiria, viburudisho na sehemu ya maegesho.
Kutokana na hilo RC Makalla ameridhia vituo binafsi vitamo vilivyohakikiwa kuendelea kutoa huduma na kufungua milango kwa Wamiliki wengine wanaohitaji kuwa na vituo binafsi kushirikiana na LATRA ili wapatiwe vigezo vinavyohitajika ambapo wamepewa Mamlaka ya kufuta au kutoa leseni.
View attachment 2342334
Auntie nahamia Austria
Sidanganyiki auntie🤣🤣🤣hapana auntie hukuhuku Tanzania kwako ndio panakufaa ukihamia uko tunakupoteza sababu utakuwa haujazoea
Msimu huu nashabikia singida big starzNa simba jeee
Upo?Sidanganyiki auntie
Kikuu sipo kwakweli!Upo?
Kuna wapenzi ukiwafikiria tu, unatamani hata ungekuwa unakaa jela na wafungwa🥸🥸
Safi sana Dr wa uchumi nakuelewa vyema sana. Ongeza tozo zingine Mwanawane tuchangie maendeleo vizuri“Tozo hii si kodi ya biashara wala si kodi inayotokana na faida ya biashara, bali chimbuko lake ni ushirikiano wa pamoja kuunganisha nguvu ili tuweze kupata rasilimali tutekeleze majukumu ambayo ni ya lazima.”
- Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.View attachment 2342323