Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Baada ya michezo 236 na kukimbiza LA LIGA kwa kucheza mechi zote kwa miaka sita mfululizo, juzi Inaki Williams amepata majeraha ambayo yanaweza kumfanya akae nje kwa muda.
Hatimae rekodi yake ya kutokosa mchezo wowote wa ligi hiyo imefika tamati.
Ikumbukwe Inaki alitembelea Ghana mwaka huu na amechagua kuvaa jezi ya taifa hilo kuelekea Qatar.
Hatimae rekodi yake ya kutokosa mchezo wowote wa ligi hiyo imefika tamati.
Ikumbukwe Inaki alitembelea Ghana mwaka huu na amechagua kuvaa jezi ya taifa hilo kuelekea Qatar.

Baada ya Jordan Henderson kupata majeraha usiku wa jana Liverpool wameulizia uwezekano wa kumpata Kiungo wa Juventus Arthur Melo kwa mkopo.
imemfuta kazi Kocha Mkuu, Ricardo Soares
baada ya miezi miwili tu tangu aajiriwe.
Lazarous Kambole halipo katika orodha ya Wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga watakaotumika msimu huu.
ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu iingie naye mkataba wa mwaka mmoja.