Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,222
Weeeeh!! Nani kaniwekea🤣🤣🤣I aint your mama hahaa
Weeeeh!! Nani kaniwekea🤣🤣🤣I aint your mama hahaa
Njoo basi totoo, mama miss you jamani. Ukuje tu sasa tukale kuku.Hahah miss you
Si mnanisingizia mambo mazito mazito🙆🙆🙆tunakuchafuliaje sasa
Sosho midia auntie🤣Umepumzika nyumbani si eti auntie
🤣🤣🤣🤣Mbona kuchafuliwa cv![]()
Teh teh teeeeh!




Njoo basi totoo, mama miss you jamani. Ukuje tu sasa tukale kuku.




Naomba na me kuja jamani mate yamenitoka etiNjoo basi totoo, mama miss you jamani. Ukuje tu sasa tukale kuku.
Nyieee jamaniii nakuja na mimi
Wapi hapo au pale kwa siku ile
Naona unajisosomola vyuku safari hii
Biblia gani hiyo?
Kwahiyo na mimi unataka kunichafulia cv
Biblia inasema usitende yale usiyopenda kutendewa na wenzio
Kuna kijiwe kipya hiko matataa, ukija nitakupeleka. Ngoja nikirudi maana huku si hutaki kuja
Wapi hapo au pale kwa siku ile
Naona unajisosomola vyuku safari hii

Ze payment izi hia hia auntieNaomba na me kuja jamani mate yamenitoka eti



ZoteeeeeeSosho media ya wapi hiyo auntie

Kama kipo dar nitakuja na mimi auntie makiii ufanye unipelekeKuna kijiwe kipya hiko mataa, ukija nitakupeleka. Ngoja nikirudi maana huku si hutaki kuja![]()
Auntie usitufanyie hivyo sio kwa kuku jamaniii tena zitakuwa za kuchoma eenh uwe na ndizi pembeni na chupa za kijani daahZe payment izi hia hia auntie
Umesahau mliyonifanyia eeh?