Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Unataka kuongea kitu unashindwaWacha we!
Unataka kuongea kitu unashindwaWacha we!
Ila ndio vizuri sema si wengine kukaa kimya vimetushinda.Siku hizi amekuwa mkimya jamani...


Eti eeeh!!Aahh naona unataka kutusingizia tena
Ndio ule muendelezo wa kunichafulia cv eeh?we ndio kiongozi wetu bwana
Ze payment izi hia hia.Ni mwenzangu auntie ila niache kwanza
Acha tu auntie, tunalalamikaga ila tumo tu.na kuiacha hatuwezi
Unataka kuongea kitu unashindwa





Zaidi ya hela....Yanahusu hela?

Na badooSi ndugu mnanifilisi![]()
Anaumwa mwenzio![]()
jamani..Vizuri mdogo wangu..Haha hamna nimepumzika tu kidogo
Ile siku nimeingia kwa Browser si nikaona Signature yako....Acha tu auntie, tunalalamikaga ila tumo tu.

Unamchafuaje aliyekwisha kuchafuliwa
Unataka niongee ili mnichafulie cv eeh?

EndiwoooEti eeeh!!
Kabisa my dearVizuri mdogo wangu..
Kujipa likizo na hizo so called Social Media Inapendeza sana...
Tajiri naona chekoo tu huna tabu weweee 😄