Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,361
- 176,181
Hivi hii kimandolu ina maana gani?Sijamtaja Mtu....
Kimandolu wewe![]()
Hivi hii kimandolu ina maana gani?Sijamtaja Mtu....
Kimandolu wewe![]()
Kwahiyo mimi sio mwenzio?Auntie niacheee nikiwa kwenye mawindo yangukizuri kula na mwenzio
Yaani hii app ni kama auntie yako maki, ana kiburiii na visa ila ndio ndugu yetu tutafanyajeHivi kutopata notification kwenye app ni mimi au na nyie week ya pili hii sipati


Ni Majanga...Hahahahah ngoja tuone auntie
Sawa Auntie..Hahahahah ngoja tuone auntie
Eti atanitambua huyu..
Nipe jina lingine la bus lilokaa kama tusi auntie, atanitambua huyu.







Ha ha ha...Mmmh!! Mbona leo umeitikia vizuri hivi
Sidanganyikiii, nipe hela yangu.

Nilishaga kwambia bhana..Lina maana gani kwanza? Isijekuwa lina maana ya kimbinyiko biree![]()

Kimandolu Arusha huko...Hivi hii kimandolu ina maana gani?

Ha ha ha ha....Yaani hii app ni kama auntie yako maki, ana kiburiii na visa ila ndio ndugu yetu tutafanyaje![]()

Aaah hayo hayajafikia hata robo ya kimbinyiko bwanaEti atanitambua huyu..
Kuna Kisbo au Najmunisa![]()




Ni ulozi tu ndio dawa yako wewe, ngoja nitafute mganga.Ha ha ha...
Sasa ningeitikia aje jamani?
Hela yako sina...Niko hapa njoo unipige![]()
Aaah hata mimi nina majukumu bwana, we nikumbushe tu. Vitu nakumbuka ni madeni tuNilishaga kwambia bhana..
Nipunguzie majukumu basi![]()


Ndugu gani mdogo wako hata hunipi helaHa ha ha ha....
Mbona Kiburi na Visa...
Vingine si unistahi tu jamani...ndugu yako mimi ujue....usichome sana![]()



Aaah hayo hayajafikia hata robo ya kimbinyiko bwana![]()




Ni ulozi tu ndio dawa yako wewe, ngoja nitafute mganga.





Aaah hata mimi nina majukumu bwana, we nikumbushe tu. Vitu nakumbuka ni madeni tu![]()






Nyehunge mkubwa wewe.







