Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila app ni hivyo tu tunaipenda jamani ni changamoto sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hupati notification yoyote upo kama kipofu
 
Sasa auntie kicheko changu kina nini jamaniiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie Mimi nacheka.. Ila wewe umenizidi...

Nikikumbuka ile siku nakuuliza yale mambo ulivyonijibu na kile kicheko[emoji23]nikikumbuka najichekea tu mwenyewe[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom