Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uko wapiiiiiiiiAskari jamii anaangalia ulinzi
Uko wapiiiiiiiiAskari jamii anaangalia ulinzi
oohAskari jamii anaangalia ulinzi
Usichanganyikiwe...hahahaha happa ndo umenichanganya kbs

Doh!!!!.. sawa.
Sikujiii, itume mpesa na ya kutolea![]()
Nilikosea jamani..Nilivoona x nikaomba usione

Ndiyo Auntie...Tukamwagilie moyo kidogo bhana
Woiiiiiii...Ha ha ha ha..Kwahiyo huwa anakuchunia ila like anakupa si eti we mzee
Nilikosea Auntie....Haahhaha auntie karekebisha naona alikosea bahati mbaya


Hapana.Bhana Weeeeee....Huyu ndo shem wangu sasa

HahahahahNdiyo Auntie...Tukamwagilie moyo kidogo bhanaWoiiiiiii...
Ha ha ha ha..
Auntie basi... usichomeee



kwa nini unamchunia mzee wangu
Nakuelewa vyedi auntieNilikosea Auntie....
Ila Lee jamaniHapana.
Simchunii Auntie...kwa nini unamchunia mzee wangu

Auntie Mimi nacheka.. Ila wewe umenizidi...Sasa auntie kicheko changu kina nini jamaniiiii.![]()
nikikumbuka najichekea tu mwenyewe

Yaaani..Ila app ni hivyo tu tunaipenda jamani ni changamoto sanahupati notification yoyote upo kama kipofu