Makapuku Forum

Makapuku Forum

Manchester City imethibitisha kuwa tayari wamefikia makubaliano kimsingi na Borussia Dortmund kwa uhamisho wa mshambuliaji Erling Haaland kuanzia tarehe 1 Julai 2022.
Uhamisho huo unabaki chini ya City kukamilisha masharti na mchezaji huyo.View attachment 2219417
Asante timu yangu Furaha yangu kwa kuleta mshambuliaji
 

Auntie niache.. nimecheka sana ujue..

Ni kile kipande Mama yupo na Peter, Wameshikana mikono wanatembea ndiyo kilinifanya nipate hamasa ya kuangalia...Wabongo hicho kipande wamejua kunichekesha jamani Wanakuambia Peter anampeleka Mama yetu Majanini kumfanyaje?

Ila Huwezi kuamini sijaweza kuangalia yote... Uvivu
mimi sijaangalia ila niliangalia hiko kipande insta na comments kusoma hukohuko auntie
 
Auntie naomba matokeo..

Shunie nini kimetokea?
KWA MKAPA UNYAMA NI MWINGI
.
HT: SIMBA [2]-0 KAGERA
️ Kibu D Bwalya
️ Bocco Bwalya
.
On Target: 4-1
Corners: 3-2
Possession: 59%-41%
.
……
Screenshot_20220511-195852_OGInsta%2B.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom