Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Asante timu yangu Furaha yangu kwa kuleta mshambuliajiManchester City imethibitisha kuwa tayari wamefikia makubaliano kimsingi na Borussia Dortmund kwa uhamisho wa mshambuliaji Erling Haaland kuanzia tarehe 1 Julai 2022.
Uhamisho huo unabaki chini ya City kukamilisha masharti na mchezaji huyo.View attachment 2219417

Akifikiria na Ubingwa Mwaka huu ndiyo basi tena... Anachoka.

️ Kibu D
Bwalya