Makapuku Forum

Makapuku Forum

Manchester City imethibitisha kuwa tayari wamefikia makubaliano kimsingi na Borussia Dortmund kwa uhamisho wa mshambuliaji Erling Haaland kuanzia tarehe 1 Julai 2022.
Uhamisho huo unabaki chini ya City kukamilisha masharti na mchezaji huyo.View attachment 2219417
Asante timu yangu Furaha yangu kwa kuleta mshambuliaji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie niache.. nimecheka sana ujue..

Ni kile kipande Mama yupo na Peter, Wameshikana mikono wanatembea ndiyo kilinifanya nipate hamasa ya kuangalia...Wabongo hicho kipande wamejua kunichekesha jamani[emoji2][emoji2] Wanakuambia Peter anampeleka Mama yetu Majanini kumfanyaje?[emoji2][emoji2][emoji2]

Ila Huwezi kuamini sijaweza kuangalia yote... Uvivu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sijaangalia ila niliangalia hiko kipande insta na comments kusoma hukohuko auntie
 
Auntie naomba matokeo..

Shunie nini kimetokea?
KWA MKAPA UNYAMA NI MWINGI
.
HT: SIMBA [2]-0 KAGERA
[emoji460]️ Kibu D [emoji457] Bwalya
[emoji460]️ Bocco [emoji457] Bwalya
.
On Target: 4-1
Corners: 3-2
Possession: 59%-41%
.
……
Screenshot_20220511-195852_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom