Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Auntie wewe hapana... una mbinu za kijasusi...

Mambo ya kindege[emoji2]Weuh!!!! Umenikumbusha enzi za Ujana Mambo yalivyokuwa mengi....

Siku hizi na huu Uzeeee[emoji2]Woiiii...Sina muda...Nina Rafiki yangu anasemaga ya nini kujitesa, simu yangu bado nipate nayo shida, mara silent, Simu inakaa imefunikwa muda wote... hapana....
Mimi ikipigwa napokea tu Auntie... Ila mazungumzo yatakuwa kwa utaratibu maalumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale ya eeeeh!!!, aaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hayo mambo ya kuwa bubu ndio siyawezi auntie kindege kinahusika au niweke dnd simu text zote zinaingia hazijionyeshi kwa screen na simu ipo hapo sitaki shida kabisa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hayo mambo ya kuwa bubu ndio siyawezi auntie kindege kinahusika au niweke dnd simu text zote zinaingia hazijionyeshi kwa screen na simu ipo hapo sitaki shida kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie wewe ni Jasusi mbobezi Wallah!!!
Naomba uje unifundishe hiyo ya dnd...Puliiiizzzzzz[emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie wewe ni Jasusi mbobezi Wallah!!!
Naomba uje unifundishe hiyo ya dnd...Puliiiizzzzzz[emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimetoka kuiweka hapa muda si mrefu yaani simu ipo mezani sina time nayo kumbe huku watu wanapiga na text zinaingia kama zote yaani na simu ipo on wazungu shikamooni
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimetoka kuiweka hapa muda si mrefu yaani simu ipo mezani sina time nayo kumbe huku watu wanapiga na text zinaingia kama zote yaani na simu ipo on wazungu shikamooni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahitaji kuijua hii Auntie...Inaweza kutumika kama Kinga wakati wa dharura[emoji2]
 
Auntie dnd ni kibokoooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuachie sisi majasusi we endelea tu kupokea simu zako na kuwa bubu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Undugu hazina yetu ujue...
Unataka siku nikamatike Auntie? Hebu uje unieleweshe Auntie....

Mimi kwenye hii simu.. nadhani bado nina viti vingi vya kutumia na vikanisaidia ila sijui.. Uzee huu[emoji114]Hapana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Undugu hazina yetu ujue...
Unataka siku nikamatike Auntie? Hebu uje unieleweshe Auntie....

Mimi kwenye hii simu.. nadhani bado nina viti vingi vya kutumia na vikanisaidia ila sijui.. Uzee huu[emoji114]Hapana.
Wachaaa weeeh auntie [emoji847] macho 3 inakuchanganya eeenh
 
Screenshot_20220506-062016_Opera%20Mini.jpg
 
Back
Top Bottom