Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mwenzako napendwaaaaa( kwa Sauti ya lile Jinga)![]()





nimecheka kwa sautiiii auntie nafurahi sana umekamatika
Mwenzako napendwaaaaa( kwa Sauti ya lile Jinga)![]()





nimecheka kwa sautiiii auntie nafurahi sana umekamatika
Ila Auntie wewe hapana... una mbinu za kijasusi...
Mambo ya kindegeWeuh!!!! Umenikumbusha enzi za Ujana Mambo yalivyokuwa mengi....
Siku hizi na huu UzeeeeWoiiii...Sina muda...Nina Rafiki yangu anasemaga ya nini kujitesa, simu yangu bado nipate nayo shida, mara silent, Simu inakaa imefunikwa muda wote... hapana....
Mimi ikipigwa napokea tu Auntie... Ila mazungumzo yatakuwa kwa utaratibu maalumuYale ya eeeeh!!!, aaaaah!!!
![]()



hayo mambo ya kuwa bubu ndio siyawezi auntie kindege kinahusika au niweke dnd simu text zote zinaingia hazijionyeshi kwa screen na simu ipo hapo sitaki shida kabisanimecheka kwa sautiiii auntie nafurahi sana umekamatika









hayo mambo ya kuwa bubu ndio siyawezi auntie kindege kinahusika au niweke dnd simu text zote zinaingia hazijionyeshi kwa screen na simu ipo hapo sitaki shida kabisa








Auntie wewe ni Jasusi mbobezi Wallah!!!
Naomba uje unifundishe hiyo ya dnd...Puliiiizzzzzz![]()




Hapa nacheka hovyoooo...
Kwamba Auntie unanifahamu vyema ndugu yako.![]()




nakufahamu vyediii auntie kweli umekamatika mpaka mda wa kuingia jf huna
Nimetoka kuiweka hapa muda si mrefu yaani simu ipo mezani sina time nayo kumbe huku watu wanapiga na text zinaingia kama zote yaani na simu ipo on wazungu shikamooni






Ila Auntie jamani..nakufahamu vyediii auntie kweli umekamatika mpaka mda wa kuingia jf huna

Auntie dnd ni kibokoooo
Nahitaji kuijua hii Auntie...Inaweza kutumika kama Kinga wakati wa dharura![]()


tuachie sisi majasusi we endelea tu kupokea simu zako na kuwa bubu
Ila Auntie jamani..
Imagine tangu J3....Kuna suala la kiufundi lilikuwaa linawekwa sawa Aunty akee![]()




mambo ninayoyapenda mimi haya mambo ya kufungiwaAuntie dnd ni kibokooootuachie sisi majasusi we endelea tu kupokea simu zako na kuwa bubu






Hapana.mambo ninayoyapenda mimi haya mambo ya kufungiwa







Wachaaa weeeh auntie
Undugu hazina yetu ujue...
Unataka siku nikamatike Auntie? Hebu uje unieleweshe Auntie....
Mimi kwenye hii simu.. nadhani bado nina viti vingi vya kutumia na vikanisaidia ila sijui.. Uzee huuHapana.
macho 3 inakuchanganya eeenh