Makapuku Forum

Makapuku Forum


Ila Auntie wewe hapana... una mbinu za kijasusi...

Mambo ya kindegeWeuh!!!! Umenikumbusha enzi za Ujana Mambo yalivyokuwa mengi....

Siku hizi na huu UzeeeeWoiiii...Sina muda...Nina Rafiki yangu anasemaga ya nini kujitesa, simu yangu bado nipate nayo shida, mara silent, Simu inakaa imefunikwa muda wote... hapana....
Mimi ikipigwa napokea tu Auntie... Ila mazungumzo yatakuwa kwa utaratibu maalumuYale ya eeeeh!!!, aaaaah!!!
hayo mambo ya kuwa bubu ndio siyawezi auntie kindege kinahusika au niweke dnd simu text zote zinaingia hazijionyeshi kwa screen na simu ipo hapo sitaki shida kabisa
 
Screenshot_20220506-062016_Opera%20Mini.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom