Makapuku Forum

Makapuku Forum

FR8UatcWQAERExi


....asubuhi imefika.
Lee nakusalimia anko
Binamu ntakutafuta kuna jambo
Salaamaa aleeikooo
 
Unaweka kindege tu au dnd sitakagi shida mimi kabisa huwa vinanihusu hivyo

Ila Auntie wewe hapana... una mbinu za kijasusi...

Mambo ya kindegeWeuh!!!! Umenikumbusha enzi za Ujana Mambo yalivyokuwa mengi....

Siku hizi na huu UzeeeeWoiiii...Sina muda...Nina Rafiki yangu anasemaga ya nini kujitesa, simu yangu bado nipate nayo shida, mara silent, Simu inakaa imefunikwa muda wote... hapana....
Mimi ikipigwa napokea tu Auntie... Ila mazungumzo yatakuwa kwa utaratibu maalumuYale ya eeeeh!!!, aaaaah!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom