Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Binamu ntakutafuta kuna jambo
Salaamaa aleeikooo
Binamu ntakutafuta kuna jambo
Salama kabisa Auntie jamani...Auntie za kuadimika jamani
Binamu wangu obe ndo unamfanya simu hapokeiSalama kabisa Auntie jamani...
Niliwamiss mno..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani nakupenda sana auntie akeee [emoji8][emoji8]
Naona ulitekwa auntie
Siyo vizuri Auntie...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] asiyekuwepo na lake halipo auntie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu wangu obe ndo unamfanya simu hapokei
Hahahahahahaha simu hapo hazifai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko na Baby then simu zisizo za msingi za nini sasa Shem???
Wewe huwa unapokea?[emoji23]
Atapokea salamu Shem wangu....Hahahahahahaha simu hapo hazifai
Msalimie sana...aunt wako bado hayajamshinda mahaba au ndo alizamia
Hapana kuna mchepuko wake ulikuwa unamtafuta bila mafanikio na binamu aliuambia uchukue logde kabisaAtapokea salamu Shem wangu....
Ulitaka muongee mambo ya mpira nyie?
Yule Ndugu yangu yupo kwenye Penzi jipya... sai hakuna kitu utamwambia akuelewe[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana kuna mchepuko wake ulikuwa unamtafuta bila mafanikio na binamu aliuambia uchukue logde kabisa
Najua zitafika kama zilivo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa Shem... Nitamwambia...
Me zaidi auntie [emoji8][emoji8][emoji8]Salama kabisa Auntie jamani...
Niliwamiss mno..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie usiniambie una penzi jipya woiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Auntie[emoji114][emoji114]
Hivi sisi hatuwezi kuwateka hawa Watoto wa Mama Mkwe kwani?
Imagine mda kama huu unaulizwa " unataka nini Maaaamaaaa"[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Najua me na wewe ni ndugu auntieSiyo vizuri Auntie...
Wewe ndugu yangu ujue....
Unaweka kindege tu au dnd sitakagi shida mimi kabisa huwa vinanihusu hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko na Baby then simu zisizo za msingi za nini sasa Shem???
Wewe huwa unapokea?[emoji23]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Me zaidi auntie [emoji8][emoji8][emoji8]
Nifanyie wepesi basi Auntie...[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Najua me na wewe ni ndugu auntie
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie usiniambie una penzi jipya woiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweka kindege tu au dnd sitakagi shida mimi kabisa huwa vinanihusu hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] auntie ebu niache tuNifanyie wepesi basi Auntie...[emoji2]