Makapuku Forum

Makapuku Forum


Nicheke kwanza..Aloooooo...

Auntie ujue mbinguni siyo mbali kihivyo...ila kwa huu uongo wako Wallah sitegemei kukukuta huko( japo na mimi sina Uhakika)

Ulivyo Levels wewe....Wacha ninyamaze kwanza....
levels ya kuandika tu auntie si unajau nyuma ya keyboard jf wote matajiri kumbe chini ya ground mambo ni tofauti ebu auntie niache bwana we niamini tu
 
levels ya kuandika tu auntie si unajau nyuma ya keyboard jf wote matajiri kumbe chini ya ground mambo ni tofauti ebu auntie niache bwana we niamini tu
Kwenye hilo siwezi kukuamini Auntie...Unajua namaanisha nini..

Ila Auntie jamani...Humu JF kila mtu ana kila kitu...Pathetic.

Aliniambiaga Rafiki yangu mmoja wa humu...yeye siyo mtu wa kuchangia sana...Hope akipita hapa ataona...Akaniambia Makii....Shukuru kwa maisha yako haya uliyonayo..JF watu wanafake life hadi siyo poa..

Imagine akaniambia story moja ya mtu humu nilishangaa hadi leo bado nashangaa..( Naomba usiniulize ni nani Auntie...Huu Umbea siyo mzuri hata)
 
Kwenye hilo siwezi kukuamini Auntie...Unajua namaanisha nini..

Ila Auntie jamani...Humu JF kila mtu ana kila kitu...Pathetic.

Aliniambiaga Rafiki yangu mmoja wa humu...yeye siyo mtu wa kuchangia sana...Hope akipita hapa ataona...Akaniambia Makii....Shukuru kwa maisha yako haya uliyonayo..JF watu wanafake life hadi siyo poa..

Imagine akaniambia story moja ya mtu humu nilishangaa hadi leo bado nashangaa..( Naomba usiniulize ni nani Auntie...Huu Umbea siyo mzuri hata)
huo umbea auntie lazima uniambie tu hakuna namna kama motoni tunaenda wote

Nakwambia auntie achana na maisha ya jf watu wanafake aiseee na ndio maana wengi wanakwepa kukutana na watu au kujuana ujue wanaona aibu sijui ni vipi yani

Ila auntie we mimi niamini tu. na vile siwezagi fake woiiii acha nipambane na wereva yangu
 
huo umbea auntie lazima uniambie tu hakuna namna kama motoni tunaenda wote

Nakwambia auntie achana na maisha ya jf watu wanafake aiseee na ndio maana wengi wanakwepa kukutana na watu au kujuana ujue wanaona aibu sijui ni vipi yani

Ila auntie we mimi niamini tu. na vile siwezagi fake woiiii acha nipambane na wereva yangu
Huo Umbea huo Auntie..Ngoja nione namna mwezi utakavyoenda

Watu tunaogopana sababu ya life tunayoishi siyo yetu...Binafsi katika vitu siwezi ni hicho...

He he he...Narudia watakuamini wengine ika mimi hata uniue..Siwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom