Kesho litakufa jituKocha wa Simba, Pablo Franco kuelekea mchezo wa Kariakoo Derby dhidi ya Yanga hapo kesho kwenye uwanja wa Mkapa amesema timu yake ina wachezaji bora kuliko wapinzani wake.
“Wenzetu wana timu yenye ushindani lakini sisi tuna wachezaji bora zaidi kuliko wao na tunacheza mpira mzuri zaidi. Mashabiki wetu wana imani kubwa na sisi, sijawahi kuona popote timu inapoteza lakini tunarudi na kupokewa vizuri na mashabiki” amesema Pablo.View attachment 2205069
Auntie nimemuelewa sana kocha wetuKesho litakufa jitu
Binafsi nimemuelewa sana Auntie..Auntie nimemuelewa sana kocha wetu
Binafsi nimemuelewa sana Auntie..
Matendo yataongea kesho...
Ngoja leo nikatafute Jersey yangu mapema sana
Naona ndio unaachiwa kwenye ndoa auntie yangu
Achana na mimi we mwanamke!Sijakumiss hata
Na ahsante kwa hizo dislike umenipa...Ndiyo umeamua tuishi hivyo siyo?
Niwache!Naona ndio unaachiwa kwenye ndoa auntie yangu
Kwani anawajua?ankole anasemaje lakini hatusalimii kweli
Eeenh hatujui kabisaKwani anawajua?