Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Freshi kabisa brother.niaaaje wadau
Our childAnalea nini tena![]()
![]()
.
Aisee kweli niko nyuma.
Angalia tu mtoto asiwe fundi viatuAnalea wifi, pia namsaidia
hvyo ni vigezo vya nyongeza yani hiari yake Yokobus hainiumiz kichwa 7bu ni timu iliyoanza kujulikana kipind cha MouKijana bado ana stress za kupigwa chini.![]()
![]()
![]()
![]()
Eb muite aje athibitshe
Cc Emmyguy
.Summer timeAlizaliwa kiangazi huyooo
Barida mdauniaaaje wadau
Lack of SugarTeh teh
Karatas mbili alisoma kama dakka 20 hvi, may b ana stress
Ila may be ukosefu wa sukar ikabid apate beer brekfast
we bwana we.Huyu kijana anaonekana ni mtoto wa Kitwanga kama vipi wewe endelea kumpetpet kinafki sisi tupige pesa.
Kwani hawakubarikiwa watoto?Mtu kaachwa mchana kweupeee ila anadai eti bado wako pamoja![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena najua hunitakii mena kabisa.Maybe
HahahaMtu kaachwa mchana kweupeee ila anadai eti bado wako pamoja![]()
![]()
![]()
![]()
KwakweliAaah
Yaan linamo tukikaa dakka kumi pamoja itakiwa ni tabu sasa
Hata tukipata ka vitz kanatosha dada.Lol si unaona wanavyopukutika na stress. Ngoja nione may b tutarithi chochote
Hahah haiwezekani hiyo.Angalia tu mtoto asiwe fundi viatu
Nimekusoma sasaSijamaanisha hivyo hahaha