Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bodi ya Twitter imekubali kumuuzia Kampumi hiyo Tajiri zaidi duniani, Bilionea Elon Musk kwa USD Bilionea 44 baada ya awali Kampuni hiyo kupinga dau lake, Elon Musk amepania kufanya mabadiliko kadhaa kwenye mtandao huo ikiwemo kulegeza masharti ya maudhui.

Musk ni Mtu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes huku akikadiriwa kuwa na utajiri wa tamani ya USD Bilioni 273.6, fedha nyingi amezipata kutokana na hisa zake katika Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme Tesla ambayo anaiendesha.

Musk pia anaongoza kampuni ya safari za anga za mbali SpaceX.View attachment 2201917
Lee wekeza maana utajiri ni muunganiko wa pesa ndogo ndogo
 
Hii hali ya hewa kachupa ka kijani kanashuka vizuri sanaaaaa.
Mkimbie Lee uje faster. Kuna viboksi viwili hapa vya chupa za kijani vinakusubiri
20220427_133652.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom